Kero: ITV na ubaguzi wa habari

Kero: ITV na ubaguzi wa habari

Hiyo habari unauoizungumzia imerushwa saa 5 usiku tena kwa details za kutosha kabisa pamoja na ile ya Anti Chadema Tanzania.
 
Sio kila tukio ni habari ndugu. Wanaweza kuwepi kwenye tukio wakaona sio habari kubwa sana wanaiweka pembeni...
Na kataa ama ukubali kila chombo cha habari kina mrengo wake
 
mi naona TBC ndo wabaguz hapa nchini ITV DAIMA wanachana live.
Uliepost nenda kasome chekechea
 
Umetumwa kuchafua majina na biashara za watu embu jipange vizur siku nyingine ukija hapa uwe na hoja yako ni dhaifu sana aikustaili kuwa hapa
 
kila sku wazee mnakuja na malalamiko ya itv kwan mmefungwa kamba?ss vijana sku nyingi tushatoka huko,angalia azam au star tv hutojuta,hiyo itv habari kubwa ni ya kuonesha sura ya mengi

...Bakhresa Sio Muuza Face!
 
Back
Top Bottom