Nadhani kabla ya kushauri ni biashara gani ufanye na hiyo 40m kwanza ungeelezea mambo ya msingi yafuatayo;
1. Umejichanga hiyo 40m kwa mda gani?
2. Umejichanga kwa kufanya shughuli gani?
3. Umejichanga kwa mda gani
4. Katika kujichanga ulikuwa na malengo gani
5. Una umri gani na uko katika hatua...
Mfumo wetu wa elimu ndio chanzo cha tatizo maana ni content-based, yaani umejikita kuhakikisha msomi anamaster masomo yaliyoainishwa kwenye mtaala. Na falsafa ya nchi yetu ni "Education for Self-Reliance" yaani mhitimu aweze kujitegemea na kukomboa jamii yake wakati dunia ya sasa ambayo tasisi...
Nilitaka nikujibu ila nilipoona ule uzi wako unaohoji nini Lissu amefanya wa member aliyejoin 2020 nikajua bila shaka wewe ni generation chawa hivyo nikupuuze.
Mtu wa pili baada ya kiongozi wako mkubwa General Hossain Salami anauwawa, Chief of Staff anauwawa kamanda wako jeshi la anga anauwawa, top scientist wanauwawa! Unadhani Iran inaweza kujibu hiki kipigo! Hili game Israel anacheza in a whole different level na hasa kwenye Intelligence, tuache...
Hoping and praying that one day tutakaa na kujadili ishu muhimu kama hizi bila mihemko tukajiuliza tu kwa akili ya kawaida.
Ingekuaje wale wanaharakati wa nchi jirani wangeruhusiwa kushiriki kesi ya Lisu kama wale watanzania waliokuwa wamezuiwa walivyoruhusiwa ni nini kingetoke wangevujaje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.