Pepe Madochi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 341
- 364
💯💯💯
Nadhani mkuu ungekuja na plan yako halafu hapa upewe ushauri katika hiyo plan yako. Tafuta gari mbili ndio uje nayo hapo kwa review ili upate pakuanzia hapa na uzi wako utapata general review but wewe unahitajika kuwa specificHabar wakuu nimekuja kwenu mnishauri nataka kununua gari lakini mim nimtu wa safari ndefu,dar kigoma,dar mwanza,dar mbeya,,gari ipi itanifaa kwa safar ndefu budget 25-35m NB ni iwe family car
Yeah ila iwe kuanzia 3rd generationRav 4 family car?
Kwahiyo bajeti yake itatosha ?Fortuner
45millNunua Toyota harrier
Kuna mwamba wa Mozambique alinisimulia hizi gari kwao ni nyingi sana na zinapatikana kwa bei rahisi tu probably ni za wizi kutoka South Africa ?Fortuner
Used anapata ya mwaka 2007Kwahiyo bajeti yake itatosha ?
Sio mzoefu sana labda mkuu Isanga family akupe muongozoKuna mwamba wa Mozambique alinisimulia hizi gari kwao ni nyingi sana na zinapatikana kwa bei rahisi tu probably ni za wizi kutoka South Africa ?
Vipi kuivusha bongo kutoka Mozambique kuna charges zozote ?
Jamaa ana hekaheka humu.Hapa mkuu hukupata gari au umeamua kuongeza
![]()
Ninunue gari ipi Mazda CX-5, Forester, Mitsubishi outlander,xtrail new moder
Wakuu naleta kwenu wataalamu wa magari ninunue gari ipi Kati ya hizo hapo au nje ya hizo gari nilizotaja bajeti ya yangu ni 25-27mwww.jamiiforums.com
Aki miss JF tu anakujua ni thread za magari 😆Jamaa ana hekaheka humu.
Huu uzi ni wa 4 au 5 kuhusu kitu hichohicho!