Siyo kweli. Nguvu ya kuteka watu haitokani na ccm bali mamlaka aliyonayo rais juu ya vyombo vya dola ya kuteua na kutengua wakuu wa vyombo hivyo.katiba ya CCM
Siyo kweli. Nguvu ya kuteka watu haitokani na ccm bali mamlaka aliyonayo rais juu ya vyombo vya dola ya kuteua na kutengua wakuu wa vyombo hivyo.katiba ya CCM
Kwa hiyo mfumo wa CCM unaruhusu kikundi cha watu kuwateka wenzao na kuwapora uhai?Tatizo sio Mama Samia, kuna tatizo kubwa zaidi kabla yake, tatizo ni mfumo CCM.
Huu mfumo ndio uliomweka Mama alipo na ndio unaompa kiburi na dharau.
Hata Philipo Mpango akiwa rais leo tutaendelea kushuhudia hovyo iliyopo.
Tuuwe huu mfumo CCM kwanza jamani!
Nakazia.No Reforms No Election ndio jibu.
Tatizo sio Mama Samia, kuna tatizo kubwa zaidi kabla yake, tatizo ni mfumo CCM.
Huu mfumo ndio uliomweka Mama alipo na ndio unaompa kiburi na dharau.
Hata Philipo Mpango akiwa rais leo tutaendelea kushuhudia hovyo iliyopo.
Tuuwe huu mfumo CCM kwanza jamani!
na aishie kuwa demu tafadhali asije kuwa hata mchumbaVyote ni shida rais mwenyewe akili kama za dem wangu
Una uhakika gani huo mfumo mpya utakuwa na tija kuliko hii ambayo CCM wameweza kuileta Tanzania?.Tatizo sio Mama Samia, kuna tatizo kubwa zaidi kabla yake, tatizo ni mfumo CCM.
Huu mfumo ndio uliomweka Mama alipo na ndio unaompa kiburi na dharau.
Hata Philipo Mpango akiwa rais leo tutaendelea kushuhudia hovyo iliyopo.
Tuuwe huu mfumo CCM kwanza jamani!
Hatuwezi kuua kwa kuwa keyboard Warriors. Adaptation ya Kényan Gen Z method is mandatory.Tatizo sio Mama Samia, kuna tatizo kubwa zaidi kabla yake, tatizo ni mfumo CCM.
Huu mfumo ndio uliomweka Mama alipo na ndio unaompa kiburi na dharau.
Hata Philipo Mpango akiwa rais leo tutaendelea kushuhudia hovyo iliyopo.
Tuuwe huu mfumo CCM kwanza jamani!
Kuna kitu kinaitwa THE STATE.Raisi ndio Kila kitu,
Tatizo ni vyote viwili, japo huyo samia ndo tatizo kubwa zaidiTatizo sio Mama Samia, kuna tatizo kubwa zaidi kabla yake, tatizo ni mfumo CCM.
Huu mfumo ndio uliomweka Mama alipo na ndio unaompa kiburi na dharau.
Hata Philipo Mpango akiwa rais leo tutaendelea kushuhudia hovyo iliyopo.
Tuuwe huu mfumo CCM kwanza jamani!

Hiyo kofia ndio inamfanya awe alivyo, huo mfumo wa mwenyekiti ccm equals raisi wa Tanzania ndio inamfanya awe juu ya kila kitu, hakuna wa kumwajibishaToa ujinga, Mwnyekiti wa CCM ndo RAISI wa nchi halafu unasema ni mfumo?😅😅 are you normal??
Na mfumo CCM umewekwa na nani?Tatizo sio Mama Samia, kuna tatizo kubwa zaidi kabla yake, tatizo ni mfumo CCM.
Huu mfumo ndio uliomweka Mama alipo na ndio unaompa kiburi na dharau.
Hata Philipo Mpango akiwa rais leo tutaendelea kushuhudia hovyo iliyopo.
Tuuwe huu mfumo CCM kwanza jamani!
Comments reservedTatizo sio Mama Samia, kuna tatizo kubwa zaidi kabla yake, tatizo ni mfumo CCM.
Huu mfumo ndio uliomweka Mama alipo na ndio unaompa kiburi na dharau.
Hata Philipo Mpango akiwa rais leo tutaendelea kushuhudia hovyo iliyopo.
Tuuwe huu mfumo CCM kwanza jamani!
Hao waalimu tulionao hawawezi kubadili kitu yapasa mfumo mzima ubadilike.Una uhakika gani huo mfumo mpya utakuwa na tija kuliko hii ambayo CCM wameweza kuileta Tanzania?.
Tukuze kwa nguvu kubwa viwango vya elimu za vyuo vyetu kwanza, tupambanie ubunifu miongoni mwa hawa watoto wa shule za msingi na sekondari ili wasiwe wageni katika dunia inayojali zaidi mchango wa mtu binafsi.
Huo mfumo wa CCM unaongozwa na nani?Tatizo sio Mama Samia, kuna tatizo kubwa zaidi kabla yake, tatizo ni mfumo CCM.
Huu mfumo ndio uliomweka Mama alipo na ndio unaompa kiburi na dharau.
Hata Philipo Mpango akiwa rais leo tutaendelea kushuhudia hovyo iliyopo.
Tuuwe huu mfumo CCM kwanza jamani!
CCMHuo mfumo wa CCM unaongozwa na nani?