Mambo vipi Karemboo ulifanikiwa kupata taarifa kuhusu hii scholarship uliyoiulizia hapa ? Kuhusu Samia Scholarship, muda sio mrefu sana Disemba hii "mambo yatakua hadharani", zidisha maombi, duah au lolote linaloweza kusaidia.
Fafanua swali lako ndugu. Unataka kujua nini kuhusu "AJIRA" zinazohusiana na kozi tajwa hapo juu ?
Ajira zikoje ni swali pana na ni swali farakanishi.
Au unataka jibu la jumla ?
Mkuu Tokyo40 (au yeyote anayewekeza kunipa mwanga hapa) habari ya majukumu....
Nimeshindwa kuja PM, wacha nimwagike tu hapahapa.
Kuna scholarship za serikali ya Japan (MEXT) zimetangazwa na nimeamua kwamba na mimi mwaka hu niingize timu uwanjani (niombe).
Naomba input yako kwa uzoefu wako...
Rasilimali nambari moja ni akili.
Taifa linaweza kuwa na watu milioni moja na likaendelea.
Taifa linaweza kuwa na watu milioni moja na lisiendelee.
Taifa linaweza kuwa na watu milioni sitini na likaendelea.
Taifa linaweza kuwa na watu milioni sitini na lisiendelee.
Akili.
1. Kama anataka kwenda serikalini anatakiwa KUACHA KAZI hapo alipo sasa (NMB).
2. Kama hataki au hayuko tayari kuacha kazi hapo alipo, maana yake hataki kwenda kufanya kazi ya mchumi aliyoipata serikalini.
Kinachojadiliwa hapa ni faida na hasara za kuchukua maamuzi namba 1 au namba 2 hapo juu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.