Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Polisi wa South Africa wamethibitisha kuwakamata Washukiwa sita wa mauaji ya Rapper Kiernan Forbes maarufu AKA na kusema miongoni mwao ni ‘Mastermind’ aliyeandaa mpango mzima na kulipa wote Wauaji wote walioshiriki tukio hilo la February 10 2023.

Waziri anayehusika na Idara ya Polisi Bheki Cele amesema Watu hao sita watafikishwa Mahakamani Alhamisi hii February 29 ambapo mwenye umri mkubwa kati yao ana miaka 36, wa kwanza ni huyo Muandaaji Mkuu ‘Mastermind’, Watumia bunduki wawili, watoa taarifa wawili na mmoja wa mwisho ni aliyehusika kutafuta silaha na magari.

Waziri Cele amesema miongoni mwa waliokamatwa wamewahi kuhusishwa na mauaji ya kutisha ambapo walikimbilia Nchi jirani ya Eswatini ( zamani Swaziland) kujificha lakini tayari wamekamatwa na taratibu za kuwarejesha South Africa zilishaanza kufanyiwa kazi.

Pamoja na kwamba Polisi wamesema hawatozungumzia nia ya mauaji hayo, imefahamika kwamba Wauaji walianza kumfuatilia AKA kuanzia anawasili uwanja wa Ndege wa Durban hadi kwenye Mgahawa alikouawa.

South Africa ni moja ya Nchi zinazotajwa kuwa na mauaji mengi ya risasi yanayohusu visa vya kimaisha na wizi ambapo AKA sio Staa wa kwanza kuuawa kwa risasi kwani mwaka 2007 Staa wa muziki wa reggae Lucky Dube aliuawa kwa kupigwa risasi tatu na Majambazi baada ya kushindikana kwa jaribio la kumuibia gari lake ( Chrysler 300c) wakati akishusha Watoto wake kwa Ndugu.

Unaambiwa kwa mujibu wa rekodi zilizotolewa na Polisi mwezi uliopita, Taifa hilo lenye Mafundi wa amapiano lilirekodi vifo karibu 84 kila siku kuanzia October hadi December 2023. #MillardAyoUPDATES
FB_IMG_1709137295688.jpg
 
Ndugu zangu jaribuni watu wanaenda sana huko Uarabuni. Maisha yakikushinda bongo tafuta kwengine. Wenzetu wanaigeria na wakenya wametupiga hatua sana.

Nchi zao zinafaidika sana na vijana wao wanaofanya kazi nje ya nchi.

Kipindi cha nyuma kuna mdau humu alikuwa anataka mawasiliano na agents wa kazi nje ya nchi na mimi nilimpatia ninao wajua.

Bahati nzuri alipata kazi Qatar na sasa hv yupo huko nje ya nchi. So msikate tamaa pambaneni.
Ajira nje ya nchi.JPG
 
Ndugu zangu wana JF namshukuru Mungu sana kwa uhai.nilianza harakati za kutafuta nafasi ya masomo nje hasa nchi ya Canada.na Uzi huu ulinipa hamasa mno nimepitia changamoto nyingi mpaka kuja kufanikiwa.Nimejifunza penye nia pana njia nimepata VISA ya Canada naweza kuondoka muda wowote kuanzia sasa.Mliotupa hamasa nawashukuru na alieanzisha uzi pia maana nilijifunza mengi sana.Lengo nakwenda kusoma na kutafuta fursa za kimataifa.Asante
 
Ndugu zangu wana JF namshukuru Mungu sana kwa uhai.nilianza harakati za kutafuta nafasi ya masomo nje hasa nchi ya Canada.na Uzi huu ulinipa hamasa mno nimepitia changamoto nyingi mpaka kuja kufanikiwa.Nimejifunza penye nia pana njia nimepata VISA ya Canada naweza kuondoka muda wowote kuanzia sasa.Mliotupa hamasa nawashukuru na alieanzisha uzi pia maana nilijifunza mengi sana.Lengo nakwenda kusoma na kutafuta fursa za kimataifa.Asante
Asante kwa mrejesho, na wewe ukumbuke kusaidia wengine kupitia mkono wako.
 
Ndugu zangu wana JF namshukuru Mungu sana kwa uhai.nilianza harakati za kutafuta nafasi ya masomo nje hasa nchi ya Canada.na Uzi huu ulinipa hamasa mno nimepitia changamoto nyingi mpaka kuja kufanikiwa.Nimejifunza penye nia pana njia nimepata VISA ya Canada naweza kuondoka muda wowote kuanzia sasa.Mliotupa hamasa nawashukuru na alieanzisha uzi pia maana nilijifunza mengi sana.Lengo nakwenda kusoma na kutafuta fursa za kimataifa.Asante
kuomba ufadhili mnatumia njia gani na ni kitu gani cha msingi uwenacho wakati unaomba ufadhili
 
Ndugu zangu wana JF namshukuru Mungu sana kwa uhai.nilianza harakati za kutafuta nafasi ya masomo nje hasa nchi ya Canada.na Uzi huu ulinipa hamasa mno nimepitia changamoto nyingi mpaka kuja kufanikiwa.Nimejifunza penye nia pana njia nimepata VISA ya Canada naweza kuondoka muda wowote kuanzia sasa.Mliotupa hamasa nawashukuru na alieanzisha uzi pia maana nilijifunza mengi sana.Lengo nakwenda kusoma na kutafuta fursa za kimataifa.Asante

Hongera sana mkuu, vipi imekuchukua muda gani kupata visa yake, maana nimeambiwa za canada zinachelewa kweli
 
Mkuu hii ni thread maalumu kwa kupeana uzoefu wa majuu na namna ya kwenda. Ni maalumu kwa wenzetu wanaohitaji kwenda huko. Sio mimi ninayehitaji nimeweka kwa niaba ya wengine. Nimeshaishi USA for 8 years na Denmark.

So ili kupunguza wimbi la thread za ushauri ni vizuri tutiririke hapa ili wengine wajifunze.
Mkuu vipi kuhusu maisha ya UturukI, kuhusu uchumi wake, fursa na changamoto
 
kuomba ufadhili mnatumia njia gani na ni kitu gani cha msingi uwenacho wakati unaomba ufadhili
Mimi sijaomba ufadhiri ila nilikopa hela ya kuonyesha obalozini.na kama unaweza kutumia njia ya kusoma kuna kampuni wanaijer na wahindi wanaitumia sana kupata ada inaitwa MPOWER na wameingia ubia na baadhi ya vyuo Canada wanakulipia ada na kila kitu unalipa baada ya kumaliza.Na uzuri wa canada unapata post graduate working permit ya kuanzia mwaka mmoja mpaka mitatu.
 
Mimi sijaomba ufadhiri ila nilikopa hela ya kuonyesha obalozini.na kama unaweza kutumia njia ya kusoma kuna kampuni wanaijer na wahindi wanaitumia sana kupata ada inaitwa MPOWER na wameingia ubia na baadhi ya vyuo Canada wanakulipia ada na kila kitu unalipa baada ya kumaliza.Na uzuri wa canada unapata post graduate working permit ya kuanzia mwaka mmoja mpaka mitatu.
asante sana mkuu Mpower application zao unafanya Online au ata Tz wanaofisi
 
asante sana mkuu Mpower application zao unafanya Online au ata Tz wanaofisi
 
Ndugu zangu wana JF namshukuru Mungu sana kwa uhai.nilianza harakati za kutafuta nafasi ya masomo nje hasa nchi ya Canada.na Uzi huu ulinipa hamasa mno nimepitia changamoto nyingi mpaka kuja kufanikiwa.Nimejifunza penye nia pana njia nimepata VISA ya Canada naweza kuondoka muda wowote kuanzia sasa.Mliotupa hamasa nawashukuru na alieanzisha uzi pia maana nilijifunza mengi sana.Lengo nakwenda kusoma na kutafuta fursa za kimataifa.Asante
All the best, ukifanikiwa usioe mzungu, iko hivi ndoa ya mzungu mwanamke na mwafrika (mwanaume) hazidumu ni mateso lakin ndoa ya mwafrica mwanamke na mzungu (mwanamke) ni raha mseleleko.

Kaka zetu walio oa wazungu ndo wana majibu hiki nilichokwambia.wachache sana wana furaha.

Rafiki yangu yupo US katoka kunipigia muda sio mrefu anajuta kuoa mzungu pamoja na pesa alizo nazo bado hana furaha. Anakuja tz kutafuta mwanamke hata kama hajasoma.

N.b wadada walioshindwana na kaka zetu bongo tafuta mzungu hutojuta.
 
Back
Top Bottom