Recent content by mwanalemi

  1. mwanalemi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Vituo vya katikati kuanzia maeneo ya Bucha , Baruti hadi Kibo abilia wanapata taabu sana. mabasi yakitoka huko yanakoanzia yanakuwa yamejaa sana. nashauri baada ya dakika zisizozidi 15 gari angalau 1 tu ianzie Bucha ili kusaidia abiria wa hivyo vituo kuwahi makazini.
  2. mwanalemi

    Nahitaji kutuma mzigo mkoani

    Nenda EMS pale posta huweza kupoteza tena mzigo rafiki
  3. mwanalemi

    Shirika la Posta Tanzania na ubabaishaji katika biashara za Kimataifa

    Jamaa mtoa amekalia chukua hajui hata ems na international mails ni huduma za Shirika la Posta
  4. mwanalemi

    Nini hukumu yao siku ya Kiama kwa wale wasiopata neno la Mungu tangu wazaliwe hadi kifo?

    muuliza swali ndiye anayetoa majibu sasa si angeacha tu kwa kuwa tayari ana majibu
  5. mwanalemi

    Nini hukumu yao siku ya Kiama kwa wale wasiopata neno la Mungu tangu wazaliwe hadi kifo?

    Ikiriri umeanzisha mada (swali) halafu unatoa majibu mwenyewe (majibu ya swali ulilouliza unayo mwenyewe)
  6. mwanalemi

    Nini hukumu yao siku ya Kiama kwa wale wasiopata neno la Mungu tangu wazaliwe hadi kifo?

    Mhh!!! una uhakika mpendwa rafiki??? ahh ok KWA MUJIBU WA .......(well noted) pepo ni nini? (naomba msaada)
  7. mwanalemi

    Hapo mwanzo mtu alimuumba Mungu kwa mfano wake

    Wakat Wakati mwingine kukaa kimya ni HEKIMA!!!!!
  8. mwanalemi

    Naomba kujua kampuni zinazohusika na kusafirisha mizigo kutoka China

    Mashirika ya Posta mkuu, siku hizi hadi mlangoni kwako.
  9. mwanalemi

    Sasa ni Kanda ya Ziwa na Kusini Basi

    Closed mind ndiyo nini?, kwa kweli niache tu rafiki. watanzania tunapendana wewe unag'ang'ana kutuchonganisha!!!!
  10. mwanalemi

    Sasa ni Kanda ya Ziwa na Kusini Basi

    Haya 1. Hebu onyesha hiyo 90% ya trip za PM umezipataje!!! (3/idadi ya trip zake * 100 = 90%? fanya kama utapata jibu tofauti basi ndio maana nimesema wewe mwongo!!!!!!) 2. Ulitaka akitoka Arusha aende mapumuziko wapi? (taja) 3. Je kwani ratiba zake anayezijua ni yeye au wewe? mpaka...
  11. mwanalemi

    Yamenikuta; Sijui nifanye nini?

    Wanaochepuka siku hizo na wanaochepuka siku tofauti na hizo wote wajinga tu!!!
  12. mwanalemi

    DED Malinyi ajenga nyumba sita za walimu

    Unataka zijengweje sasa!!!! kila kitu mtu kulalamika mpongeze mwenzio hata kwa hicho alichofanya!!!!!
  13. mwanalemi

    Tetesi: Hatimaye "Chato International Airport" kuzinduliwa rasmi mwezi Aprili

    Huna lolote kinachokusumbua ni wivu tu unajifichia kwenye uchumi nani amekwambia wa Mwanza hautajengwa??? utakapojengwa wewe mwenyewe utasema wanajenga tu kanda ya ziwa!!! unataka Kiongozi wa nchi aende kwa baiskeli nyumbani kwake???? mbona hatujakusikia ukihoji barabara zilizojengwa tena siku...
  14. mwanalemi

    Sasa ni Kanda ya Ziwa na Kusini Basi

    Wewe mwongo na mchonganishi!!!!!
Back
Top Bottom