Yamenikuta; Sijui nifanye nini?

Yamenikuta; Sijui nifanye nini?

Eti cha kustua cha sikukuu! Mwenye mali yuko home noma kubambwa ni rahisi sana. Mwenye mumewe alishastuka akawa anamsubiri mwizi wake ampe kibano cha nguvu. ‍♀️‍♀️‍♀️


Mke alitaka kushtua cha sikukuu....

Mumewe amsamehe tu...itakuwa shetani alimpitia mkewe
 
Sikuja kutungua toarati bali kuitimiliza mwambie amchukue mkewe waende wakapatane lilounganishwa MUNGU binadamu usilitenganishe au unataka ukamatie chini?
Hayo yalikuwa maoni yangu sasa wewe unayeijua toarati ungemshauri kivyako umpe na hivyo vifungu na wameruhusu kuzini eeeh kwenye hiyo toarati?Mambo mengine usijifanye mjuaji wakati tayari kuna contradiction.Halafu next time upunguze speed zako ukiniquote
 
Hayo yalikuwa maoni yangu sasa wewe unayeijua toarati ungemshauri kivyako umpe na hivyo vifungu na wameruhusu kuzini eeeh kwenye hiyo toarati?Mambo mengine usijifanye mjuaji wakati tayari kuna contradiction.Halafu next time upunguze speed zako ukiniquote
Adhama ya mtu hutokana na mtu mwenyewe
 
Lazma wewe utakuwa mwanaume wa dar,

Ingekuwa mwanaume wa mkoani ungekuta anatuletea thread yenye head

News Alerts:

Nimemvunja mke wangu kiuno na sasa hivi nimeshikiliwa na polisi

Jina lako mkuu unaitwa John? Nimemkumbuka Faru John
Kweli huyu amedhalilisha jina la John kwa heshima ya faru John, faru John hakuwa fala kiasi hicho, siunajua sababu ya kuamisha maskani yake akapelekwa grumet reseave?
 
Jamani jamani na sie wanawake ni shida.Yani badala ya kusheherekea na mumeo unamuacha unaenda kuzini.Aiseee huyo mwanamke mpe tu talaka na kuugua aende akaugulie kwao sio kwa aibu hizo alizokutia.
wakristo hatuna talaka!
 
Aliyekiunganisha mungu mwanadamu asitenganishe watu wengine bana mungu alisema mmoja awe mwasherati biblia inasema MTU asimwache mkewe ila kwa uasherat hivyo mleta uz ndio uamue kuendelea nae kwa kumsamehe au kuachana nae hakuna din inayoruhusu uasherati ata biblia sema binadamu tumeshajipanga bila kuchepuka maisha hayaend na hii nikujiendekeza katika tamaa za mwili
 
Jamani jamani na sie wanawake ni shida.Yani badala ya kusheherekea na mumeo unamuacha unaenda kuzini.Aiseee huyo mwanamke mpe tu talaka na kuugua aende akaugulie kwao sio kwa aibu hizo alizokutia.
We na mimba yako isojulikana baba mbona ulisamehewa!!

Hivi haujamaliza kupika tu?
 
Mpaka hapo Mwenyezi Mungu kashamuaibisha aibu kubwa mno kama ni wa kujifunza amejifunza kitu.

Kama ni mara yake ya kwanza wewe endelea kuishi naye ila USIMUAMINI HATA KIDOGO...(yaani kua jasusi wa kuchunguza nyendo zake mwanzo mwisho mpaka ujiridhishe kua kaacha)

Some times ni kosa letu wanaume kujifanya et mwanamke hachungwi anajichunga mwenyewe(tunajichanganya sana).

Mfano hata unapokua na mifugo lazima ujue mifugo iko salama,iko wapi nk.

Why mke wako unamuacha mpaka inafikia hatua ya kutoka na mwanaume mwingine wewe majukumu yako ni yapi kama mwanaume ?

Tafakali....
 
Dah huu mwaka niwakina john tu!!! Cjui mmemkosea nn muumba wenu
 
We na mimba yako isojulikana baba mbona ulisamehewa!!

Hivi haujamaliza kupika tu?
Wanasemaga kitanda hakizai haramu ndio maana nilisamehewa ila huyo mwenzangu katia fora.
Nimeishamaliza kitambo kumuandalia hubby wangu Rogie chapati na maharage na chai moja nzito ya maziwa nadhani unajua maziwa ya huku usukumani yalivyo mazito
 
Wanasemaga kitanda hakizai haramu ndio maana nilisamehewa ila huyo mwenzangu katia fora.
Nimeishamaliza kitambo kumuandalia hubby wangu Rogie chapati na maharage na chai moja nzito ya maziwa nadhani unajua maziwa ya huku usukumani yalivyo mazito
Katia fora maana kafumwa na kupigwa au kwakuwa kachepuka?
Duuuh huo mchanganyiko balaa!!
 
dawa kuachana nae tu, nyie wanaume wa huko dar ni watu mchezo mchezo tu, mi zamani angekuwa ameshasepa kwao na mimi ningekuwa nimeshatafuta dogo dogo wa kunipunguzia stress
 
Siku ya Christmas na new year kwa anaechepuka ni ujinga. Kuna siku nyingi sana za kufanya hayo mambo lakini siyo siku ya sikukuu kama hizo
Wanaochepuka siku hizo na wanaochepuka siku tofauti na hizo wote wajinga tu!!!
 
Siku ya Christmas na new year kwa anaechepuka ni ujinga. Kuna siku nyingi sana za kufanya hayo mambo lakini siyo siku ya sikukuu kama hizo
watu wanazidiwa mjomba mapenzi achana nayo kabisa itakua jamaa anamkoleza kwelikweli mpaka uzalendo ukamshinda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom