Habari wanajamvi,
Kuna mfanyakazi mwenzangu hapa ofisini alikopa kam mill.4 kwenye hizi financial institutions alitakiwa arudishe 5.6m pamoja na riba kwa muda wa miezi kumi kila mwezi ni sh.560,000 ameshalipa miezi minne mil.2,240,000, bado mil.3,360,000, hivi juzi jamaa...