Habari wanajamvi.
Kuna kazi ningependa kuomba, inameet qualification zangu kabisa + career development naona itakuwa vizuri endapo ntaipata.
Tatizo liko moja tu, kwenye level ya mshahara. Mshahara waliotaja uko chini kwa zaidi ya laki tano kwa huu naopata sasa. Najiuliza je niombe hivyo hivyo? Naweza nikanegotiate wakapandisha mshahara hata kwa 1 ml?
Au je hizi level za mishahara ambazo makampuni mbalimbali huweka kwenye matangazo ya kazi huwa ni ya kweli? Au huwa zinabadilika?
Note: ofisi yangu haina shida kwa ss, ila tu ningependa kubadili ofisi baada ya kukaa ofisi moja muda mrefu na kufanya kazi hizohizo kila siku.
Kuna kazi ningependa kuomba, inameet qualification zangu kabisa + career development naona itakuwa vizuri endapo ntaipata.
Tatizo liko moja tu, kwenye level ya mshahara. Mshahara waliotaja uko chini kwa zaidi ya laki tano kwa huu naopata sasa. Najiuliza je niombe hivyo hivyo? Naweza nikanegotiate wakapandisha mshahara hata kwa 1 ml?
Au je hizi level za mishahara ambazo makampuni mbalimbali huweka kwenye matangazo ya kazi huwa ni ya kweli? Au huwa zinabadilika?
Note: ofisi yangu haina shida kwa ss, ila tu ningependa kubadili ofisi baada ya kukaa ofisi moja muda mrefu na kufanya kazi hizohizo kila siku.