POST HII NI YA UONGO, MAKAMBA HAKUWEPO KWENYE KIKAO CHA SENETI CHA VIONGOZI WA CCM MKOA WA DSM, Bali Jerry silaa ndie alikuwa mgeni rasmi Na hakuzomewa
Dogo unaonesha kuwa unanjaa kali, kuwa muwazi unachohitaji wewe sio mpenzi Bali fedha, naogopa kusema hali hii itakupelekea kwenda kujiuza ili utimize hiyo dhiki, TULIA USOME
Tatizo pia lipo kwa huyo dada haiwezekani mtu mwenye fikra pevu kuona kuuza uchi ndio suluhisho la Ukata unaomkabili, kwa namna hii hata bumu lilipokuwa linachelewa chuoni alifanya kama afanyavyo. Hiyo ni tabia yako hata kama mumeo angekupa Dunia yote usingeridhika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.