International Friendly - Namibia vs Tanzania

International Friendly - Namibia vs Tanzania

Magoli yote ya mchezo yamefungwa na wachezaji wa Namibia..

Stars ambayo ilitangulia kupata bao dk ya 89 kuelekea dk ya 90 kwa mchezaji Emilio Martin wa Namibia kujifunga mwenyewe.

Kwenye dakika za majeruhi Namibia wakafanikiwa kusawazisha bao hilo kupitia kwa Penduleni Nekundi.
 
Taifa Stars imeinyuka Namibia jioni hii kwa bao 1-0 nyumbani kwao Jijini Windhoek katika mfululizo wa FIFA Friendlies. Katika michezo mingine ya ukanda wa jirani, Zambia imeitandika Uganda 2-1; Zimbabwe 4 Malawi 1; Burundi 1 Rwanda 1; Msumbiji 1 Angola 1 wakati kama wengi mnavyojua Sauzi wametandikwa bila huruma 5-0 na Wabrazil! Afadhali hata sisi tulipata bao 1 mwaka 2010 tuliponyukwa 5 uwanja wa Taifa na jamaa hao Wabrazil.
 
Mbona wadau wanasema 1-1? na hata ikiwa 1-0 ndio kuduwaza? Kweli masikini akipata ile kitu ulia mbwata.
 
Rainford Kalaba yuko ndani ya kikosi cha Zambia dhidi ya Uganda,Emma Okwi,Hamis Kiiza yuko ndani ya kikosi cha Uganda dhidi ya zambia leo.Kwanini Tanzania haina Ulimwengu na Samatta dhidi ya Namibia?
Flight connections zilishindikana kwa sababu wana mechi inawasubiri weekend.Kina Okwi na Kiiza imewezekana kwa sababu ya connection ya KQ.
 
Mkuu kwa nini hujiulizi kwamba sababu gani ilifanya wachezaji wa Yanga wakaondolewa kwenye timu ya Taifa.

Hata wewe ungekuwa kiongozi wa TP Mazembe ungetumia sababu hizo hizo walizozitumia kuwaacha wachezaji wa Yanga ambao tayari walikuwa wameitwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa lakini wakaondolewa ili wajiandae na mechi dhidi ya Al Ahly, kwa hiyo kwa TFF ni Klabu kwanza na Taifa baadaye.
Niliwahi kusema awali kuwa huu mchezo umeangukia kati kati ya kalenda ya champion league ya Afrika,complications ni nyingi kwenye kuunganisha ndege. By the way Masuke mbona huulizi kuhusu mwinyi kazimoto?
 
Mtu anachaguliwa kuwa Rais TFF anabadili mambo atakavyo kama mwanasiasa afanyavyo.Kocha stahiki wa Stars mbadala wa Kim ni yule aliyekuwa akimsaidia kwa karibu miaka 4 sasa Mr... (Nimesahau jina) ndiye amechukua ujuzi na anawajua wachezaji wetu vizuri sa huyu Madadi wa nini?
Dorogo kocha msaidizi unayemtaja ni Sylvester Marsh,anaumwa amelazwa,tumuombee.
 
Last edited by a moderator:
.... hizi ni mechi zipo ktk ratiba ya FIFA, timu hii imekwenda Namibia na Salum Madadi ambaye ni kaimu mkurugenzi wa ufundi wa TFF......Na timu hii imefanikiwa kufanya mazoezi siku moja tu.
Yale yale ... timu haina manager halafu imefanya mazoezi siku moja tu! Get serious, stop horsing around!
 
Mbana kuna uzi humu unaousiana na hyo mechi..ni namibia 0 tanzania 1
 
Kwanza nimshukuru ndetichia kwa majibu then kuhudu timu hao walioenda sioni kama ndio key players wetu timu pale haija kamilika kama ambavyo tumeizoea walipoifikisha wamejitahidi pongezi zao
 
Back
Top Bottom