January Makamba azomewa na Wanachuo

January Makamba azomewa na Wanachuo

POST HII NI YA UONGO, MAKAMBA HAKUWEPO KWENYE KIKAO CHA SENETI CHA VIONGOZI WA CCM MKOA WA DSM, Bali Jerry silaa ndie alikuwa mgeni rasmi Na hakuzomewa
 
HABARI HII NI YA UONGO NA YENYE MALENGO YA KUMCHAFUA ndugu January Makamba , Leo katika uchaguzi wa shirikisho mkoa wa dar es salaam , mhe january alipita na kubariki zoezi zima kama Mlezi na Mshauri wa shirikisho Hili, Alilakiwa kwa shangwe na vigelele vingi kutoka kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali mkoa wa dar es salaam, Haikutosha hapo pia tuliomba na kupiga nae picha nyingi sana............ Siasa chafu zisizo na mwelekeo na makundi yasipotoshe jamii na umma wa watanzania! Kila siku uongo utajitenga na Ukweli,
Wakati wengine mkiendelea kupiga kampeni na kutoa maneno ya kashfa kwa wengine , bila kuangalia upande bila kumshabikia mtu ,Mhe january makamba aliwaasa wanafunzi kuwa viongozi bora na kufwata dira ya chama cha Mapinduzi, Napenda Kusisitiza Mhe January Makamba Hakuzomewa na mtu yoyote na pia kwa nia ya dhati kabisa hakuongelea wala kujipigia debe!
 
January Makamba azomewa na mamia ya wanafunzi katika uchaguzi wa viongozi wa shirikisho hilo kwenye ukumbi wa Karimjee...

Kama imefikia hatua ya kuzomewa na wanafunzi ni muda mwafaka wa kujitafakari..... Kudoz wanafunzi "uzalendo wenu ndiyo mafanikio ya Taifa".....

Hahah wanachuo wana hasira za mb 8
 
POST HII NI YA UONGO, MAKAMBA HAKUWEPO KWENYE KIKAO CHA SENETI CHA VIONGOZI WA CCM MKOA WA DSM, Bali Jerry silaa ndie alikuwa mgeni rasmi Na hakuzomewa

Hata kama hakuwepo hukoo,kamwambie huku ndo tunamzomea zaidi kuliko hukoo,mwambie hatumtaki mpaka atwambie Mb8 kwa kila kifurushi ndo kutambikia uko au ndo unyonyaji?
 
Hizo picha mlizopiga nae ziko wapi? Hebu zirushe hapa kama ushahidi wako.



HABARI HII NI YA UONGO NA YENYE MALENGO YA KUMCHAFUA ndugu January Makamba , Leo katika uchaguzi wa shirikisho mkoa wa dar es salaam , mhe january alipita na kubariki zoezi zima kama Mlezi na Mshauri wa shirikisho Hili, Alilakiwa kwa shangwe na vigelele vingi kutoka kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali mkoa wa dar es salaam, Haikutosha hapo pia tuliomba na kupiga nae picha nyingi sana............ Siasa chafu zisizo na mwelekeo na makundi yasipotoshe jamii na umma wa watanzania! Kila siku uongo utajitenga na Ukweli,
Wakati wengine mkiendelea kupiga kampeni na kutoa maneno ya kashfa kwa wengine , bila kuangalia upande bila kumshabikia mtu ,Mhe january makamba aliwaasa wanafunzi kuwa viongozi bora na kufwata dira ya chama cha Mapinduzi, Napenda Kusisitiza Mhe January Makamba Hakuzomewa na mtu yoyote na pia kwa nia ya dhati kabisa hakuongelea wala kujipigia debe!
 
HABARI HII NI YA UONGO NA YENYE MALENGO YA KUMCHAFUA ndugu January Makamba , Leo katika uchaguzi wa shirikisho mkoa wa dar es salaam , mhe january alipita na kubariki zoezi zima kama Mlezi na Mshauri wa shirikisho Hili, Alilakiwa kwa shangwe na vigelele vingi kutoka kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali mkoa wa dar es salaam, Haikutosha hapo pia tuliomba na kupiga nae picha nyingi sana............ Siasa chafu zisizo na mwelekeo na makundi yasipotoshe jamii na umma wa watanzania! Kila siku uongo utajitenga na Ukweli,
Wakati wengine mkiendelea kupiga kampeni na kutoa maneno ya kashfa kwa wengine , bila kuangalia upande bila kumshabikia mtu ,Mhe january makamba aliwaasa wanafunzi kuwa viongozi bora na kufwata dira ya chama cha Mapinduzi, Napenda Kusisitiza Mhe January Makamba Hakuzomewa na mtu yoyote na pia kwa nia ya dhati kabisa hakuongelea wala kujipigia debe!

Acheni njaa za kimaskini,huyu anapandikiza mijitu yake kutumia team yake inayoita club 40 na hivyo vijisenti anawapa vitawapalia tumeona fujo za club 40 arusha dodoma mwanza na dar ndio ivonatetea matope au mnadhani atakuwa raisi ?ili mpate udc? Nawashauri mkawahi mashamba lushoto maana dunia ya sasa hakuna kubebana jooo,,,
Lione mfyuuuuuuuuuu kabisa
 
January Makamba azomewa na mamia ya wanafunzi katika uchaguzi wa viongozi wa shirikisho hilo kwenye ukumbi wa Karimjee...

Kama imefikia hatua ya kuzomewa na wanafunzi ni muda mwafaka wa kujitafakari..... Kudoz wanafunzi "uzalendo wenu ndiyo mafanikio ya Taifa".....

Ifikie kipindi tushirikishe ubongo kufikiri na tuandike kama wasomi, ebu tupe ushahidi wa kiisimu kuwa alizimewa sio kuandika maneno tu ya kuponda wakati hakuna ukweli wowote
 
Hivi makamba anafanya nini kama naibu waziri wa mawasiliano? Mbona makampuni ya simu yamebana sana watumiaji wa mitandao?

Ni kweli Makamba ni naibu Waziri lakini sio msemaji wa mwisho katika wizara , yeye kachukua hatua na alitoa taarifa ukurasa wake wa Facebook kilichopo mamlaka husika zilizobaki kuchukua hatua , Makamba anapigania hili kila siku tatizo n mamlaka mengine kufumba macho usimtwishe zigo lisilomhusu
 
Makamba anajichafua mapema.asilimia 87 ya wanachuo wanategemea MBS ktk harakati zao za masomo.kama alishindwa kuwatetea kafata nini huko?bora angepigwa kabisa

Hajajichafua ila baadhi ya system zinamchafua kama hizo za mb 8
 
Huwez linganusha enzi za mwalimu na sasa, we acha tu CCM wazomewe kwani tunajua wameamua kutafuta fedha za kampeni kimafia.....
 
Hivi makamba anafanya nini kama naibu waziri wa mawasiliano? Mbona makampuni ya simu yamebana sana watumiaji wa mitandao?

Anajiandaa na kampeni za urais si unajua anautaka uprezidaa?
 
Back
Top Bottom