*Looku Looku*[emoji102][emoji102]
NAOMBA UVAE MBAVU ZA SPEA
*_Mnyakyusa mmoja aliwaalika watu katika mazishi ya mama yake. Baada ya kushusha jeneza wakatia ndani ya kaburi viazi, mchele na kuku kadhaa. Mhaya mmoja_* *_akauliza, 'Vya nini hivyo?_*
*_Akaambiwa, 'Wafu huenda safari ndefu sana...