Yanga inaongozwa kizee sana, viongozi waliopo hawaenda na mfumo wa soka la kisasa..
Tazama Azam, Mbeya Situ, Singida United na Simba wanavyowatambulisha wachezaji wao, mdhamini anapata mileage kutokana na brand zinazofanyika, Singida United ya juzi tu lakini press zao kuna banner za wadhamini...
Huyo Pius Buswita ni kiungo?
Buswita ni mshambuliaji, viungo wa mbao walikua Salmin Hozza na Innocent Njohole..
Sasa Lwandamina kama alitala kiungo, mbona mnasajili mshambuliaji?
Kama TAKUKURU wanaogopa kumpandisha Malinzi kizimbani ili hali wakiwa na ushanidi, basi wamkabidhi Makonda hilo faili tuone kama keshi yake tu hajapandishwa mahakamani
Malinzi ni mjanja mjanja aliyepata dhamana ha kuongoza mpira wa miguu nchi hii.. AzamTv wanalalamika fedha za FA Cup waliyoa zote mil 500, cha ajabu akaelekeza zikasaidie chaguzi za mikoa na kuacha vilabu vinavyoshiriki michuano hiyo vikijtoa wengine kupewa laki 7 badala ya mil 3...
Maofisa wa TFF, Martin Chacha na Juma Matandika leo wamepandishwa Mahakama ya Kisutu kusomewa mashitaka ya kuomba rushwa ya sh 25 milioni kwa timu ya Geita.
Hali si shwari katika Shirikisho la Soka Tanzania TFF kufuatia kuwepo kwa hali mbaya, baada ya wafanyakazi wake kuendelea kufanya kazi kwa mwezi wa nne sasa bila ya kulipwa mishahara yao wala marupurupu ya aina yoyote.
Habari za ndani zinasema, ukata huo unatokana na ufujwaji mbaya wa pesa...
Wafanyakazi wa Shirikisho la Soka Tanzania -TFF sasa wametimiza miezi mitatu bila ya kulipwa mishahara yao, baada ya kulipwa mara ya mwisho Februari 15, 2016.
Kwa kipindi cha miezi mitatu Machi, Aprili, Mei 2016 wafanyakazi hao wameendelea kufanya kazi zao za kila siki, huku Katibu Mkuu wa TFF...
Yule askari maarufu wa jeshi la polisi jijini Dar es salaam kwa kuongoza magari/kuelekeza njia za kupita kukiwa na foleni Sajenti Ally Kinyogori amefariki usiku huu kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana nyumbani kwake Mwandege nje kidogo ya jiji la Dar.
Kinyogori alijizolea umaarufu katika...
Kwa mujibu wa tovuti ya TFF, Alfred Lucas ameteuliwa kuwa Afisa Habari mpya wa TFF kuanzia leo April 27, 2016.
Alfred anachukua nafasi ya Baraka Kizuguto aliyehamishiwa katika Kurugenzi ya Mashindano kuwa Afisa Mashindano na Meneja wa Mifumo pepe ya Usajili (TMS).
Alfred ana uzoefu kutoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.