We mleta taarifa unamasrah gani na mbunge? Mwanae kakutwaa na hatia mahakaman na ikathibitika! Kuwa ni jangili na akakiri kwa kulipa m 138.we unasema ana kibari halali? Me naona una masilah bnafs na mbunge.kwa mazngira very likely our mp akawa jangili.hawa wasiaa me ciwaelew weng wanatumaliza sana
Ded rc Dc wana kura nying kuliko mbunge? Aiseee hii akili ya WAP?wamepewa shavu na MTU mmoja! So wakiibaa? Wakindanganya ama wakfanyaaa la hovyo lolote kafanyaa mkuluuuu? Achaaa unaaa hawafani
Co gani ndezi ivo? Co mwendokas? Demu chapa ilale we unakuwaa rubaa? Co una akili za kusomesha demu? Ukoo wwwenu unasomesha nani? Familia yenu unasomesha nani? Kwa lak tano yako unaabeba watu njian et unasomesha? Umejenga we? Hauko silias na mausha! Kama VP kasome MD ujielewe.maana ktaaa nna...
Wafanyakaz wanakatwa pesa yao AF wanambiwaa watalipwa 30% kwa six miez.Mfano nalipwa lak sita.kaz SNA AF unanilipa 30% ya hela hyo.why don't u give ma money and let's me plan how am gonna use it.unanpangiej matumiz na modarity ya pesa yangu? Kwa mawazo yangu helaa yangu nktaka kuichukuaa bada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.