Nahitaji Msaada wenu wataalamu ninachukia tabia niliyonayo ya kunywa pombe naomba kusaidiwa nini dawa ya kunywa ili niache kinywaji hiki?
Sio kwamba na kunywa kila siku huwa na kunywa Mara moja moja Ila nalewa sana kiasi cha kunivunjia heshima yangu na kila Niko jitahidi kuacha siwezi. Nimejitahidi kuikataa akili ni Ila baada ya muda nimeanza tena sasa ninachoomba kusaidiwa ni dawa kiboko ya walevi kama Mimi. Nikome kabisa kunywa pombe.
Najiuliza wengine wanaachaje mbona Mimi nashindwa
Madokta wataalamu wa tiba zote ziwe za kimila au Mbinguni au maarifa ya kawaida mnisaidie.
asanteni
Sio kwamba na kunywa kila siku huwa na kunywa Mara moja moja Ila nalewa sana kiasi cha kunivunjia heshima yangu na kila Niko jitahidi kuacha siwezi. Nimejitahidi kuikataa akili ni Ila baada ya muda nimeanza tena sasa ninachoomba kusaidiwa ni dawa kiboko ya walevi kama Mimi. Nikome kabisa kunywa pombe.
Najiuliza wengine wanaachaje mbona Mimi nashindwa
Madokta wataalamu wa tiba zote ziwe za kimila au Mbinguni au maarifa ya kawaida mnisaidie.
asanteni