Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Nahitaji Msaada wenu wataalamu ninachukia tabia niliyonayo ya kunywa pombe naomba kusaidiwa nini dawa ya kunywa ili niache kinywaji hiki?

Sio kwamba na kunywa kila siku huwa na kunywa Mara moja moja Ila nalewa sana kiasi cha kunivunjia heshima yangu na kila Niko jitahidi kuacha siwezi. Nimejitahidi kuikataa akili ni Ila baada ya muda nimeanza tena sasa ninachoomba kusaidiwa ni dawa kiboko ya walevi kama Mimi. Nikome kabisa kunywa pombe.

Najiuliza wengine wanaachaje mbona Mimi nashindwa
Madokta wataalamu wa tiba zote ziwe za kimila au Mbinguni au maarifa ya kawaida mnisaidie.
asanteni
 
Dawa ya kuacha ipo inaitwa USINYWE POMBE KUNYWA MAJI NA JUISI tu.Ukiamua kuacha mbona easy tu.....usipende kwenda bar hata ikitokea ukawepo kwenye eneo la bar agiza maji siyo pombe.....pombe sio chai kipind hicho nabwia kama nilikuwa na mia tano ilikuwa inaisha yote asubuh nakosa hata nauli Plus kupoteza simu...kutukana watu yaaan dar MSABE NOMA
 
Nahitaji Msaada wenu wataalamu ninachukia tabia niliyonayo ya kunywa pombe naomba kusaidiwa nini dawa ya kunywa ili niache kinywaji hiki?
Sio kwamba na kunywa kila siku huwa na kunywa Mara moja moja Ila nalewa sana kiasi cha kunivunjia heshima yangu na kila Niko jitahidi kuacha siwezi. Nimejitahidi kuikataa akili ni Ila baada ya muda nimeanza tena sasa ninachoomba kusaidiwa ni dawa kiboko ya walevi kama Mimi. Nikome kabisa kunywa pombe.
Najiuliza wengine wanaachaje mbona Mimi nashindwa.
Madokta wataalamu wa tiba zote ziwe za kimila au Mbinguni au maarifa ya kawaida mnisaidie.
asanteni
Mtafute daktari akupime mwili wote halafu akupe majibu kwamba UKINYWA POMBE UTAKUFA....
 
Kuna dawa za kitaalamu nenda hospital watakupa maelezo zaidi ila kwa ushauri tu kuacha pombe inabidi ufanye maamuzi, ufanye hatua kwenye kuacha na umaanishe kuacha
 
Achana na kampani za walevi. Badala yake ufanye kitu kingine muda wa mapumziko tofauti na kutiririsha ulabu
Afadhari akipata muda wa kupumzika wikiend akaangalie mpira vibanda umoza ila asijiroge lujaribisha kubeti, ni ulevi mwingine!!
 
Whether ke or me tatizo ni kuacha pombe
No!....hujanielewa!kuna sababu zinazofanya watu kuwa walevi ambazo huwa zinasababishwa na jinsia ndo maana nilitaka kujua jinsia yako kwanza!....inawezekana tatizo likawa kwenye jinsia!
 
Nilishafanya attempts kibao za kuwa mnywaji wa vilevi, lakini sijafanikiwa kabisa hadi leo. Thanks God for that! No more attempts! Hela zangu ntakuwa naspend na familia yangu. Ova
 
Nahitaji Msaada wenu wataalamu ninachukia tabia niliyonayo ya kunywa pombe naomba kusaidiwa nini dawa ya kunywa ili niache kinywaji hiki?

Sio kwamba na kunywa kila siku huwa na kunywa Mara moja moja Ila nalewa sana kiasi cha kunivunjia heshima yangu na kila Niko jitahidi kuacha siwezi. Nimejitahidi kuikataa akili ni Ila baada ya muda nimeanza tena sasa ninachoomba kusaidiwa ni dawa kiboko ya walevi kama Mimi. Nikome kabisa kunywa pombe.

Najiuliza wengine wanaachaje mbona Mimi nashindwa
Madokta wataalamu wa tiba zote ziwe za kimila au Mbinguni au maarifa ya kawaida mnisaidie.
asanteni


Unaweza kufika katika kituo chetu kwa ajiii ya ushauri bure

Kwa mawasiliano piga number 0713 806 726
 
Back
Top Bottom