Solwa Yangu
JF-Expert Member
- Oct 26, 2016
- 223
- 113
Kwa tamko la Mkuu wa Mkoa wa Kagera alisema wanakarabati miundombinu ya serikali, je hiyo ni shule ya umma? Fedha hizo zilitakiwa zigawiwe kwa wahanga wote kwa maelezo ya awali wakali wa uchangishaji but kwa kuwa walibadili gia angani basi watekeleze kama walivyosema sio kuwa bias huku watu wengine wakilala nje.Nimekuelew mkuu...lkn kma shule imeharibiwa ya private...hairuhusiwi kukarabatiwa na hizi hela za maafa hadi iwe ya serikali?