Recent content by mwana2015

  1. M

    Marekani: Rais Mstaafu, George Bush Sr. yuko ICU ikiwa ni siku chache baada ya kumpoteza mkewe

    Kumbe unamjua watu wangemjua vizuri.. Sindano ya sumu wangemchoma
  2. M

    Watoto wa kike wa mtaani kwetu wanatoa balaa!

    Hajielewi huyo sasa kama wanatoa na yeye anakula si wa moja nini kuleta mada huku. Kama hawatokupa si utawa lalamikia kuna watu akili zao za ajabu sana.!
  3. M

    Mliosomea/mnaosomea India njooni hapa mumshauri huyu!!!!!

    Inategemea sana na unachotaka kusoma huku.
  4. M

    Mliosomea/mnaosomea India njooni hapa mumshauri huyu!!!!!

    Maisha ya huku ni kuwa na uvumilivu kuna wahindi wanauzi na wanakuchukulia unahela do umakini uwepo. Kuiheshimu hela maana rupii inakatika haraka. Cha kufanya ni kununua stock ya mwezi mzima ya chakula kuiweka ndani. Usipende kugombana nao kama kupigana nao maana hata wakikuua hawana kesi...
  5. M

    Magari yaliyotumika kuvamia mkutano wa CUF ya Maalim Seif yakutwa ofisi za CUF Buguruni yameegeshwa

    Kama CUF hamtoweza kumwondoa Lipumba, msubiri mwone anavyozidi kuiharibu CUF maana CUF hamjielewi kabisa.. Hasara kama wasimamizi wa chama hamwoni inaleta hasira sana
  6. M

    Je, unafikiri Tanzania itaendelea kwa hali ya Bunge tulilonalo

    Hii ndo ilivyo ukae bungeni ukubali yanayojiri yote mabaya na mazuri usihoji kitu hapa there is nothing taking place. Inasikitisha
  7. M

    Kitendo cha Vodacom kutuuzia internet na kutupa nguvu ya e ni ugaidi

    Dah Voda hata usiiguse kwenye Swala la Internet ipo moto hatari, ui tumie kwenye simu, smart TV kotekote pouwa...ungesema Tigo sawa...Na wakina Airtel na Halotel sijui 4g wanampango kuileta lini
  8. M

    Ali Kessy: Roma Mkatoliki anamtukana Rais halafu anaachiwa? Utawala gani huu?

    Huyu mzee kweli yupo sawa kutufananisha na nchi za kidikteta..nchi ka marekani haioni au
  9. M

    Rais Magufuli: Amani ya baadhi nchi nyingi imetoweka kwa kuchonganishwa tu

    Amani tunayo na ishakuwa damuni kwetu sasa baada ya kuipata what is next tukalie kimya ubashite na vyote vinavyodidimiza nyuma hii nchi kwa kigezo cha kuitumia amani haipo sawa..amani hutoweka kama viongozi wameshindwa kusikiliza mahitaji ya wananchi na kutumia ubabe usio na tija
  10. M

    Wewe dada nakuhurumia... 30 yrs!

    Anatudhalilisha wanaume wote sio tu eti ana umri mdogo ndo chanzo akili finyu kutojielewa na utoto wa fikra..kuwa na miaka mingi sio upeo wa mtu kukuwa kifikra.
  11. M

    Dr. Norman Sigela: Wasomi tunamuuunga mkono Rais Dr. Magufuli

    Eti wasomi wote anatuwakilisha kiki nyengine tusichanganywe ajiseme yeye na usomi wake..
Back
Top Bottom