Labda Dar huku Moro ni majanga jamani tusaidieni hela yangu inaniumaDah Voda hata usiiguse kwenye Swala la Internet ipo moto hatari, ui tumie kwenye simu, smart TV kotekote pouwa...ungesema Tigo sawa...Na wakina Airtel na Halotel sijui 4g wanampango kuileta lini
Moro mjini kaka, kwa nini niwasingizie?Voda internet yao ipo vizuri sana acha maongo yako na mm nipo morogoro ,mtimbira ,ulanga ipo juu sana
Aliyeshiba, hamjui mwenye njaaaaaaa!!!Voda internet yao ipo vizuri sana acha maongo yako na mm nipo morogoro ,mtimbira ,ulanga ipo juu sana
Unaweza kukuta yupo moro mjini na wewe upo mtimbila ni sehemu mbili tofauti kabisaVoda internet yao ipo vizuri sana acha maongo yako na mm nipo morogoro ,mtimbira ,ulanga ipo juu sana
Afadhali wewe upo Moro wanaweza kutoa kisingizio cha umbali. Mimi nipo hapahapa Dar lakini ni kizungumkuti kitupu.Jamani hawa vodacom mbona wakatili hivi? Yaani sie wa Morogoro wanatuuzia data halafu nguvu yake ni e, hakuna 3g au 4g wala H. Huu ni ugaidi wa kimitandao muache Mungu anawaona. Mnatutia hasara jamani
Moro iko poa sana, kuna wakati naangalia hadi movie online wala haizingui, ila kwa Dar nakuunga mkono. Nilikaa huko kama siku mbili wiki iliyopita, nilijuta kuwa na line yao pekee. Bando langu liliisha bure. Sijui tatizo ni nini?!Afadhali wewe upo Moro wanaweza kutoa kisingizio cha umbali. Mimi nipo hapahapa Dar lakini ni kizungumkuti kitupu.
wewe kifaa chako kina matatizo me kwa dei natumia zaidi ya gb5 voda wako njema kakaJamani hawa vodacom mbona wakatili hivi? Yaani sie wa Morogoro wanatuuzia data halafu nguvu yake ni e, hakuna 3g au 4g wala H. Huu ni ugaidi wa kimitandao muache Mungu anawaona. Mnatutia hasara jamani
Hama tu.Mitandao yote hii bado unalia lia nini?Jamani hawa vodacom mbona wakatili hivi? Yaani sie wa Morogoro wanatuuzia data halafu nguvu yake ni e, hakuna 3g au 4g wala H. Huu ni ugaidi wa kimitandao muache Mungu anawaona. Mnatutia hasara jamani
Sasa mnalialia nini? sisi wa dsm si mnatuona oya oya.....!Jamani hawa vodacom mbona wakatili hivi? Yaani sie wa Morogoro wanatuuzia data halafu nguvu yake ni e, hakuna 3g au 4g wala H. Huu ni ugaidi wa kimitandao muache Mungu anawaona. Mnatutia hasara jamani