Recent content by Mwana JF

  1. M

    Jela au faini kwa kucheka kwa sauti kubwa

    Mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Robert Schiavelli (42) amefikishwa kizimbani mjini new york kwa tuhuma za kuchafua hali ya amani na utulivu kwa kucheka kwa sauti kubwa. Mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Robert Schiavelli (42) amefikishwa kizimbani mjini new york kwa tuhuma za kuchafua...
  2. M

    Natafuta kazi yoyote, nisaidieni jamani maisha magumu.

    mimi nilimaliza kidato cha nne mwaka jana na matokeo yangu nilipata DIV IV ya 28. nna D za Civics,kiswahili,geog,history,chemistry na nna C ya english. nimeshindwa kujiunga na chuo kusomea kozi kwasababu sina hela kabisa na hata nyumbani hela ngumu sana. natafuta kazi yoyote ambayo ni halali...
  3. M

    Ruge mutahaba atoa amri kwa wafanyakazi wake.. Hakuna kupiga bongo fleva leo..

    hiyo yote sababu ya.... sababu ya.... joto hasira 'ambaa"
  4. M

    usiipite thread hii tafadhali nisaidie

    sawa nkasomee diploma ila kozi gani inafaa kwa marks hizo¿
  5. M

    usiipite thread hii tafadhali nisaidie

    shukrani mkuu nimekupata
  6. M

    usiipite thread hii tafadhali nisaidie

    mimi nilimaliza form 4 mwaka jana na nlipata division 4 ya 31.. nlipata D 4 katika masomo ya History,civics,kiswahil na english.. sasa kaka/dada zangu naombeni ushauri wenu nkasomee kozi gani kulingana na hayo matokeo maana mi bado sijielewi... kwa msaada zaidi unaweza kuntajia na vyuo vya...
  7. M

    Maswali matano(5) kwa wana MMU

    aaagh maswali yote ya nini mpaka inachosha....... mijitu mingine bana kero tupu
  8. M

    Ushoga wa wanaume, Aisee unaisha vizuri.

    we ni mbulula huelewek... nahisi ww utakua ni mmoja kati ya 60% za mulugo
  9. M

    Niko njia panda jamani! Nisaidieni

    kiss tu la shavuni but mimi hajawai kunfanyia ivyo hata siku moja.
  10. M

    Niko njia panda jamani! Nisaidieni

    Mambo wana JF? Mi nna mpenzi wng ambae kwakeli nilimpenda sana. Ila tatizo la uyo demu ni kwamba ye ni mtu wa dini sana kiasi cha kwamba nkimwambia tusex anakataa anasema 2subiri mpk ndoa. Sasa cha ajabu uyo demu ht nkimwambia anikiss anadai hajazoea na hawezi kufny ivyo ila hajui kwanini...
  11. M

    cheka kidogo basi ihhhhhi

    cku hizi umebadilika naona ushakuwa mkubwa ule utoto wako umeuacha.
  12. M

    huyu mtambuzi vipi leo....?

    mbona ijumaa ya leo hajaweka kesi yoyote....? Mi nasubiri hadi muda huu cjui kapatwa na nini leo.
  13. M

    Anapenda kujichanganya na wanaume.... Ushauri plz!

    mh! Kwani we ushawahi kuwa na mtu wa aina hiyo.
  14. M

    Anapenda kujichanganya na wanaume.... Ushauri plz!

    kama huna wivu kwa mpenzi wako jua humpendi kweli.
Back
Top Bottom