M Mwana JF Member Jul 27, 2012 26 1 Aug 3, 2012 #1 mbona ijumaa ya leo hajaweka kesi yoyote....? Mi nasubiri hadi muda huu cjui kapatwa na nini leo.
Abdulhalim Platinum Member Jul 20, 2007 17,193 3,011 Aug 3, 2012 #2 Kaka Mtambuzi anza kula vichwa sasa, una clientele ya kutosha.. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Chimemena JF-Expert Member Feb 25, 2011 1,376 451 Aug 3, 2012 #3 Hata mimi huwa nasoma zile kesi ijumaa jioni nikitoka zangu kuingiza ridhiki. Nmecheck nikakuta hijabandikwa roho imeniumaje?
Hata mimi huwa nasoma zile kesi ijumaa jioni nikitoka zangu kuingiza ridhiki. Nmecheck nikakuta hijabandikwa roho imeniumaje?
SnowBall JF-Expert Member Sep 13, 2011 3,054 2,840 Aug 3, 2012 #4 Nadhani kasahau kama leo ni ijumaa..
R Ritakahama JF-Expert Member Jul 5, 2012 758 408 Aug 3, 2012 #6 Umeonae? Niliandika hapa wengine wakajitia eti Mtambuzi ni nani?Ndo huyo anayegusa kila mtu kwa mada anazoziandika.
Umeonae? Niliandika hapa wengine wakajitia eti Mtambuzi ni nani?Ndo huyo anayegusa kila mtu kwa mada anazoziandika.
Fang Content Manager Nov 5, 2008 509 322 Aug 3, 2012 #7 https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...aig-na-ngombe-wawili-na-tuhuma-za-mauaji.html