Mm n mzawa wa tukuyu uliyoyaongea n ukweli mtupu,,nakupongeza kwa hilo!! Pia kuna kule kunaitwa taraja la Mungu chini ya lile daraja yaani ndan ya maji pia nasikia kuna mali!! Ndio maana lile eneo lipo ndan ya chuo cha magereza!! Fafanua kama unalielewa vizur
Yaaan ww Jamaa umenichekesha,,,kumi na NNE ndio list??? Kwa hesabu yangu tangu 2011 had Leo nmefikisha 45,na sio wote ninaowakumbuka!! Hawa n wale ambao nna sababu maalum zinazofanya nwakumbuke!!! ,kwa hiyo ongeza juhud
Mm nakushaur kwanza kubali kosa kwamba umelitenda,,,Pili tafuta watu wazima waongee nae wamshaur!! Ikishindikana bas wazaz wenu pande zote mbili mkae mkubaliane ikibid uwalipe fidia uoe jumla,,,suala la kutokuwa tayar kuoa cdhan kama itakuwa busara kumtelekeza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.