ABDUL KAREEM
Senior Member
- Oct 18, 2012
- 152
- 152
Death is the solution for all problems.no man no problems...Joseph Stalin
Jamaa ana kiganja mikubwa kama ukumbi wa diamond jubilee“Utakuta mtu anajidai anajua, mimi namwangalia tu kwa sababu wakati mwingine hajai kwenye kiganja changu.” — Andrew Chenge Mnyama.
Magufuli ndo mpango mzima mnaandika huku mnaisoma nambaKauli za kitabe hzo kwa kweli
Umenichekesha balaaaaaMIMI NI JOKA LENYE MAKENGEZA NANUSA PESA ZILIKO
Hahaha hahaha hahaha hahaha,,,na yy alipiga mbiz kusaka kuraaaaaa"Asiyeweza kulipa nauli ya kivuko ya shilingi 200 apige mbizi mpaka kigamboni" - xxxxxx
Kucheka balaa ni kosa kikatiba.Umenichekesha balaaaaa
Nmekuelewa sana kiongozi.Hauhitaji kuwa mkamilifu kuweza kuwatumikia wengine, watu watavutiwa na ww kwa jinsi unavyoweza kuyakabili mapungufu yao
Kauli za Mbunge huyu huwa ni tata mnoNchi ya zanzibar ni kama kamkoa ka dsm naweza kukazunguka kanchi kote kwa baskeri kwa siku moja hivyo hawastahiri mgawo sawa wa mapato ya nchi.mh kessy mp from nkasi
Na shujaa wa darIlitolewa na nan hii ?
Duh huyu atauza hadi kucha
alisema lini????Kuongoza watanzania ni kazi rahisi sana kama kumsukuma mlevi - JPM