Jibu rahisi ni kwamba, technology inabadilika. Simu ni hardware kwa hiyo ikishatengenezwa baasi huwezi kuiupgrade tena. Ila software kila siku zinakua updated na madeveloper.
Kwa hiyo new software kuanzia kwenye Operating system haziwezi kuingia kwenye kwenye old phone architecture. Kwa hiyo ni...
Ili usimpoteze. Kama unaona anakupenda usitafute sababu ya kuachana nae kaka.
Mimi nilikua nae anaelia na kunena kwa lugha madhabahuni. Anaamka usiku saa tisa kusali kila siku, mpaka nikawa nahisi mimi ndie nnae mkwamisha safari ya kuiona mbingu😁😁. Nikitaka kucheat nilikua nahisi ananiona...
Mimi kwa experience yangu naona kama hakuna mwaminifu, ila viwango vinatofautiana. Hapa kwenye kucheat nawainclude ambao wao hawacheat kwa kufanya mapenzi, ila wanakua na watu ambao wanawaita wachangamsha simu. Yaani wewe ukiwa busy, mwingine anatake over, kuongea nae ujinga ujinga, kutaniana...
Umechelewa sana kujua kiongozi! Hata kwenye social media nyingine, wanaondesha maisha ya watu wengine ni watu wahovyo sana ni vile hawaonekani.
Unakuta mtu ana acc yake ya instagram ya ushauri wandoa. Yeye mwenyewe hajahi kuonekana online na wala hajaweka contacts zake. Lakini watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.