Huwa wanasema nabii hasifiki kwao je unataka kusema United Nations hawajawaona hao wewe uliowaona wanahekima na diplomasia ya juu kumzidi kikwete au unataka kutuaminisha kuwa huo ni uteuzi wa mchongo labda kama mimi na wewe tunamuelewa Kikwete katika nyanja tofauti ila He is the best sio kwa...
Nillikuwa nafanya shughuli zangu kwenye pc yangu kwa bahati mbaya nimeiformat partition yenye taarifa zangu binafsi Gb 150 naomba msaada wa kurecover naombeni msaada jinsi gani niweze kupata japo zile za muhimu zaidi nitangulize shukrani zangu za dhati asanteni
Ukishaidownload hiyo bit torrent either kwenye simu au pc then ukiifungua hiyo link niliyokuwekea hapo utaclick hiyo magnetic download hiyo bit torrent itakuchulia kila kitu utabaki wew kutumia [emoji1] [emoji1]
Download bittorrent au u torrent then tumia hii link kuichua Download Microsoft Office Pro Plus 2019 v16.0.10325.20118 (x86/x64) + Crack [CracksNow] Torrent | 1337x
Kuna haja kubwa ya kutakiwa kumpima mtoa maada ni kwa kiasi gani amechanganyikiwa na makonda disease maana anasema alilolijua pia maombi yanahitajika kwako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.