Recent content by MWAKIPE

  1. MWAKIPE

    Sijui tutapata lini wabunge Kama hawa!!!!

    Haaaa haaa kwa sasa watasema kazi ya siasa c dili tena, wataikacha wafanye biashara
  2. MWAKIPE

    nauli ya kwenda Dubai

    Kaulize kotuo cha daldal za Dubai, Teeeh Teeeh
  3. MWAKIPE

    Kwanini SAUT wawe wababe kiasi hiki?

    Ni sawa lakini kila jamii inataratibu zake na sheria zinazo eleweka, labda ni kwa sababu hatukumbuki mambo ama hatusomi vitu vya msingi kuhusu chuo. Katika hotuba ya VC Kitima wakati ule (2012) amewahi kusema kuwa chuo (SAUT) jina sheria zake lakini ambazo hazivunji sheria Wala katiba ya jamhuri...
  4. MWAKIPE

    Msaada wa kuroot htc incredible S s710e

    Jaman wa JF Naomba Msaada wa maelekezo ya kitaalum Hindi ya kuroot sim yangu.
  5. MWAKIPE

    Msaada window 8

    Nenda control panel, ingia power options kisha angalia what to do when closing/opening lid
  6. MWAKIPE

    Nini tafsiri ya ndoto hii ?

    Muda mwingine ndoto hujengeka kutokana na mawazo na matamanio. Kuhusu ndoto yako mi nadhani kuwa inaweza kuwa kweli kama huwa huwazi juu ya hao freemason na wala huwa husomi broshua zao. Ila kama una utamaduni wa kuungalia video ambazo hadhaniwa ni za freemason, kusoma vitabu vyao na mengine...
  7. MWAKIPE

    Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

    Samahani, hapo ilipo kaa kutuni ni luka 2 : 8
  8. MWAKIPE

    Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

    Kuhusu Christmas hata kwa upande wangu imekuwa changamoto kubwa ambayo nilikosa majibu kwa kipindi kirefu kutoka kwa viongozi wa dini kwani maelezo yao yanakosa ushahidi wa kimaandiko, na mkristo wa kweli anasimama katika misingi ya biblia na kama kitu hicho hakija andikwa basi ni batili. Biblia...
  9. MWAKIPE

    Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

    Hyo ni pasaka kaka, kwani biblia inasema kwamba, hamjui kuwa siku mbili zimesalia mwana wa adamu atasalitiwa
  10. MWAKIPE

    Watanzania lioneni hili

    Mmmmh! Hapa kwetu watu wanajipatia utajir kwa kutumikisha
  11. MWAKIPE

    Ni makabila gani hapa tanzania yanaongoza kwa elimu ya juu.

    Baada ya uhuru wahaya, wanyakyusa na wachagga. Lakin kwa sasa ni utata watu wamepiga buk noma
  12. MWAKIPE

    Msigwa alisomea wapi uchungaji?

    Uchungaji husomewi, sio kwamba namlinda msigwa ila uchungaji wa kusomea ni wa mishahara
Back
Top Bottom