veronica mihenga
Senior Member
- Apr 4, 2013
- 174
- 43
Jaman mi sichangii chochote ila nampa pole jamaa
wewe mwerevu mbona umeandika pumba? mulugo.com
laptop kumi .......ningekuwa kwa babu namtengezeza.....akijamba utokee mlio kama ule wa ndiiiiii kitu kikigoma.....ningemuambia babu afanye huyo mtu awashe sana makarioni yaani awe anatembea anajikuna huko kila atapoenda na atapokaa.... Yaani ulokole ungenitoka
Heeee hii thread aifungwi aka closed mpaka akamatwe ndio itafungwa