Sijui tutapata lini wabunge Kama hawa!!!!

Sijui tutapata lini wabunge Kama hawa!!!!

[QU OTE=Zamaulid;9754597]kuwapata wabunge kama hawa haitakuja kutokea tena...kuwapata hawa ni sawa na mwanamke kurejesha ubikir.a wake![/QUOTE]
Umeuwaaaaaaa ila naskia zinarudigi za kichina basi na Hawa wa siku hizi ni wa kichina
 
haitorudi tena kwa chama hiki tawala
 
Kama serikali ndo ileile ya watu walewale wanaohamasisha wizi, jambo hilo siyo rahisi:israel::israel:
 
Ni kwamba vichwa kama vile havizaliwi tena,ni matapeli na malaya wa siasa
 
Hii kwa utawazi wa sasa na roho za binadamu zilivyongumu watawamaliza kwa pa1.
Tofauti na zamani mambo yalikuwa shwari.
 
Haaaa haaa kwa sasa watasema kazi ya siasa c dili tena, wataikacha wafanye biashara
 
Back
Top Bottom