Msigwa alisomea wapi uchungaji?

Msigwa alisomea wapi uchungaji?

Kwa hiyo kila anaesomea mambo ya dini automatic anakuwa mchungaji?

Hebu tuwe wakweli hapa. unataka kutuambia wanafunzi wote waliopita seminari ni mapadre?

Uchungaji wa Msigwa ni wa kujibambikiza tu, sijawahi kuona mchungaji akichochea vurugu siku ya kumuabudu Mungu

Nakumbuka jumapili moja mchungaji alikacha kwenda kanisani akaenda pale barabara mbili kuchochea vurugu kwa wamachinga,. matokeo yake polisi wakapiga mbata kichogo na kumsweka rumande

Kama kweli unalala sebuleni kwa dada yako, kaa kimya kwasababu umepoteza sifa ya kuitwa mwanaume.
 
Nadhani Lukosi sijui mkosi umepata majibu.....kama unajitayarisha kuja kumuondoa Msigwa jimboni 2015 njoo kivingine...unatafuta maneno ya kuja kuanzia kwamb Msigwa anjiita Mchungaji kwani hakuna chuo alichosomea.....UMEUMBUKA WEWE SENGE LA MAJUU
 
Ndugu zanguni,

Kwa wale mnaojua siasa za siku hizi nadhani jina la Msigwa sio geni masikioni mwenu.

Mimi binafsi namfahamu Msigwa toka enzi zile alipoikuwa akipiga shoe shine pale kihesa, then akafungua kiduka/kioski cha kuuza chumvi mafuta ya taa nk pale kihesa.

Mambo yalipozidi kuwa magumu ghafla nikasikia Msigwa kawa mchungaji na leo mbunge.

Najua ubunge aliupata baada ya wananchi wa Iringa kuamua kuchagua jiwe kwa hasira ya kukataliwa mtu wao, lakini hili suala la uchungaji lilikujaje?

Msigwa alisomea wapi huu uchungaji?

Aliteuliwa na nani?

Naomba wale wanaomfahamu vyema mchungaji wetu wanijuze

JITAMBUE!

Ingekuwa vizuri kama ungetupa utaratibu wa kibiblia jinsi mtu anavyokuwa mchungaji kisha ndo ungeuliza swala lako, vinginevyo ndugu Chris umechemka tu, chuki binafsi, mfitini (sifa ya shetani) mlaghai na mchonganishi mkubwa lengo lako ni kujionyesha kuwa unajua kila kitu kumbe hujui kuwa hujui lolote, mbulula na maskini wa mawazo weee! Tena inataka ujionyeshe kuwa unaona mbali kumbe hujui kuwa wewe ni kipofu maskini unaye hitaji dawa ya macho ili upate kuona tena, USIRUDIE KUONGEA MAMBO USIYOKUWA NA UJUZI NAYO UKOME!!!!!
 
1240627_564581813589136_551804437_n.jpg

graduation day

1234896_565030846877566_1888764154_n.jpg


siku ya mahafali nilipo maliza degree


Mbona inaonekana kama wako katika ukumbi/sebule ya Mtu/hoteli,mbona kawaida ya Graduation ya Shahada na kuendelea huwa wanavishwa Kofia,cheti ni Secondary Schools

Inawezekana alitafuta Joho akatafuta wahuni wachache wa kizungu na kiafrika akapiga nao picha,akachagua mwenye afya akamfanya Chancellor ili amkabidhi Cheti

Alichokosea ni kuwa Higher Education Graduates huwa wanavishwa KOFIA za pembe nne kwa Shahada ya Kwanza na Uzamili,na PHD wanavishwa Kofia za mduara
 
Ndugu zanguni,

Kwa wale mnaojua siasa za siku hizi nadhani jina la Msigwa sio geni masikioni mwenu.

Mimi binafsi namfahamu Msigwa toka enzi zile alipoikuwa akipiga shoe shine pale kihesa, then akafungua kiduka/kioski cha kuuza chumvi mafuta ya taa nk pale kihesa.

Mambo yalipozidi kuwa magumu ghafla nikasikia Msigwa kawa mchungaji na leo mbunge.

Najua ubunge aliupata baada ya wananchi wa Iringa kuamua kuchagua jiwe kwa hasira ya kukataliwa mtu wao, lakini hili suala la uchungaji lilikujaje?

Msigwa alisomea wapi huu uchungaji?

Aliteuliwa na nani?

Naomba wale wanaomfahamu vyema mchungaji wetu wanijuze

JITAMBUE!

Tukupe email Yake umuulize mwenyewe?
Au imeanza tabia za kinafki?
 
"Mimi binafsi namfahamu Msigwa toka enzi zile alipoikuwa akipiga shoe shine pale kihesa, then akafungua kiduka/kioski cha kuuza chumvi mafuta ya taa nk pale kihesa.

Mambo yalipozidi kuwa magumu ghafla nikasikia Msigwa kawa mchungaji na leo mbunge"

KAMA WEWE NI MKRISTO KUMBUKA KUWA YESU ALIWAINUA WANYONGE WAKAWA WAFUASI WAKE,BAADHI YA WAFUASI WAKE WALIKUWA WAVUVI WA SAMAKI. KWA KWELI UMEONESHA MADHARAU.
 
Uchungaji husomewi, sio kwamba namlinda msigwa ila uchungaji wa kusomea ni wa mishahara
 
Hivi huwezi kuchangia hoja bila kuweka tusi. Hii inakuonesha we ni mtu wa aina gani.
Kwa upande wa mchungaji msigwa mimi binafsi sikushangaa kumuona amechaguliwa kuwa halafu kuwa mkweli na muwazi kama unamuelezea mchungaji msigwa pia ni vyema ukasema alikuwa na Stationery iliyokuwepo maeneo ya posta by then akiwa na marehemu mkewe, they were very charming and passionate hasa kwa wanafunzi kama mimi kwa wakati huo, may God rest her wife in peace, mkewe alifariki kutoikana na maternal death lakini mtoto wake alipo na alijifungua mtoto wa kiume. Alihamisha stationery yake na kuhamishia jengo la akiba house iringa. Kiufupi mchungaji ni mpiganaji na mtafutaji, halafu kijana kama mtoto wa kiume unatakiwa kujua kuwa mwanaume kazi yake kutafuta na sio kutafutana kama una nia ya kujua amepataje uchungaji kamuulize mwenyewe atakupa majibu, lakini wale wataalam wa masuala ya dini, hebu mpeni jibu stahiki labda na yeye anataka kuwa mchungaji.
 
----- kwel ww mleta mada hapa, kumbe unamfaham halaf unataka nan akujib swal lako, acha upopo kijana
 
Nadhani Lukosi sijui mkosi umepata majibu.....kama unajitayarisha kuja kumuondoa Msigwa jimboni 2015 njoo kivingine...unatafuta maneno ya kuja kuanzia kwamb Msigwa anjiita Mchungaji kwani hakuna chuo alichosomea.....UMEUMBUKA WEWE SENGE LA MAJUU

Nikweli kuwa Lukosi analala kwa shemeji yake aliyemwoa dada yake? Tena sebuleni? Basi msameheni huyo, labda anachanganywa akili na vilio vya dada usiku dhidi ya mgegedo wa shemeji na kuondoka hawezi. Ana hitaji tiba ya akili
 
Mbona inaonekana kama wako katika ukumbi/sebule ya Mtu/hoteli,mbona kawaida ya Graduation ya Shahada na kuendelea huwa wanavishwa Kofia,cheti ni Secondary Schools

Inawezekana alitafuta Joho akatafuta wahuni wachache wa kizungu na kiafrika akapiga nao picha,akachagua mwenye afya akamfanya Chancellor ili amkabidhi Cheti

Alichokosea ni kuwa Higher Education Graduates huwa wanavishwa KOFIA za pembe nne kwa Shahada ya Kwanza na Uzamili,na PHD wanavishwa Kofia za mduara

Sio lazima kuvaa kofia, uwe unafanya utafiti kwanza wewe mfano University of Cape Town chuo kikuu bora zaidi Africa wanafunzi wa degree ya kwanza na uzamili (masters) hawavai kofia. PhD tu ndio wanavalishwa kofia.
 
Sio lazima kuvaa kofia, uwe unafanya utafiti kwanza wewe mfano University of Cape Town chuo kikuu bora zaidi Africa wanafunzi wa degree ya kwanza na uzamili (masters) hawavai kofia. PhD tu ndio wanavalishwa kofia.

Kama hawavishwi kofia ni kutokana na wingi wao kama hapo University of DSM,lakini sio undergraduate wanapewa vyeti siku ya mahafali instead,acha uongo mi nimesoma Umtata Univesity jimbo la Transkei South Africa,wadanganye wengine
 
Lukosi akili yako inakutosha mwenyewe. We kalambe miguu ya Wazungu, utarudi hapa Bongo tunakuzika. Hutaweza kufikia 1/100000 ya mchango Msigwa kwa watanzania.
 
Ndugu zanguni,

Kwa wale mnaojua siasa za siku hizi nadhani jina la Msigwa sio geni masikioni mwenu.

Mimi binafsi namfahamu Msigwa toka enzi zile alipoikuwa akipiga shoe shine pale kihesa, then akafungua kiduka/kioski cha kuuza chumvi mafuta ya taa nk pale kihesa.

Mambo yalipozidi kuwa magumu ghafla nikasikia Msigwa kawa mchungaji na leo mbunge.

Najua ubunge aliupata baada ya wananchi wa Iringa kuamua kuchagua jiwe kwa hasira ya kukataliwa mtu wao, lakini hili suala la uchungaji lilikujaje?

Msigwa alisomea wapi huu uchungaji?

Aliteuliwa na nani?

Naomba wale wanaomfahamu vyema mchungaji wetu wanijuze

JITAMBUE!

Pengine Chama chake kinatoa hiyo koz
 
Ingekuwa vizuri kama
ungetupa utaratibu wa
kibiblia jinsi mtu
anavyokuwa mchungaji
kisha ndo ungeuliza swala
lako, vinginevyo ndugu Chris umechemka tu, chuki binafsi,
mfitini (sifa ya shetani)
mlaghai na mchonganishi
mkubwa lengo lako ni
kujionyesha kuwa unajua
kila kitu kumbe hujui kuwa hujui lolote, mbulula na
maskini wa mawazo weee!
Tena inataka ujionyeshe
kuwa unaona mbali kumbe
hujui kuwa wewe ni kipofu
maskini unaye hitaji dawa ya macho ili upate kuona tena,

Umemjibu vizuri, wakati mwingine lazima tujifunze na kujiuliza kile tunachoandika! Ajiulize akina Dr Nchimbi, dr Lukuvi, dr Wassira, ete etc, walipata wapi hizo Phd!?
 
Kama hawavishwi kofia ni kutokana na wingi wao kama hapo University of DSM,lakini sio undergraduate wanapewa vyeti siku ya mahafali instead,acha uongo mi nimesoma Umtata Univesity jimbo la Transkei South Africa,wadanganye wengine
sio kutokana na wingi, undergraduate na masters hawavishwi kofia na wote wanapita mbele. Nimesoma University of Cape Town class of 2012. Usiongee vitu usivyovijua.
 
Back
Top Bottom