Kashishi yetu
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 3,124
- 2,942
utaratibu wa fine siyo mgeni, tuanze kwenye ngazi za chini kabisa sekondari, hv wewe hujawahi kusikia baraza la mitihani likiwapiga faini walochelewa kulipia ada za mtihani? haya twende kwenye maofisi mengine ya serikali, hv hujawahi kusikia gari la jiji likiwa na kipaza sauti likitangaza kuwa mwisho wa kulipa kodi ya bila faini ni tarehe fulani na baada ya hapo ni faini? haya tutoke huko,tuje kwenye vyuo vya serikali mwalimu nyerere memorial academy, ukichelewa kulipa ada unatozwa faini.sasa chuo hicho kinapata sapoti ya serikali na bado kinatoza faini sembuse chuo kisicho cha serikali ambacho hakina ruzuku toka serikalini? ukiona umeshindwa hamia mnma,udsm au udom ambako wewe unadhani kunaunafuu wa kulipa ada