Recent content by mwakalindile

  1. M

    Wanaume ndio wasambazaji wa HIV

    Sio kweli, binafsi nime date na mabinti wengi tu ila wala hawakumbushii suala la kinga. Ila saiz nimeacha maana daa kupima kulinifanya niwe mpole Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Natafuta kazi yoyote ya halali

    Habari gani watu wa nguvu imani yangu kuwa wote wazima acha niende kwenye maada, jamani mwenzenu huku natafuta kazi yeyote ili mradi tu kuna malipo. Hadi nimeamua kuja jf, ujue hali ni mbaya suala la kuajiriwa serikalini nilishaliondoa kichwani mwangu yaani laiti nikipata hata kazi yeyote ile...
  3. M

    Natafuta nafasi ya kufundisha kwa masomo ya Geography na Economics

    Habarini watu wangu, na imani ni wazima kabisa. Ndugu zangu nimekuja kuwasilisha ombi langu la kufundisha economics, geography na commerce. Nina bachelor degree ya uchumi, na geography. Matusi na comments ajabu sipendi kama hujisikii kuchangia unaweza ukapita tuu .
  4. M

    Unaoa ili iweje ? Mimi na-date na KE sita kwa raha zangu.

    Una nyota ya ukimwi ww, tz ya viwanda tunasafari ndefu sana
  5. M

    Binti Kapandisha Mapepo Gheto

    Kweli boss, yaani umefanya uzinz hlf baadae unakemea kutumia jina gani? Ebu mwogope mungu
  6. M

    Aliniacha akaolewa lakini sasa anataka mazoea

    Nashkr sana kwa kutoandika matusi maana sipendi kbs
  7. M

    Aliniacha akaolewa lakini sasa anataka mazoea

    Mkuu suala la ndoa miaka hii ni cmplex issue,haya yalikuwa ni maoni tu. Mwanaume kamili ni yule anayefanya maamuzi yaliyo bora. Good decisions unaweza ukapata kwa watu pia
  8. M

    Aliniacha akaolewa lakini sasa anataka mazoea

    Ndo point hiyo mkuu,nataka nimwambie direct
  9. M

    Aliniacha akaolewa lakini sasa anataka mazoea

    Daa mkuu umenitukana, ungezengumza kifupi tu ningeelewa. Mm binafsi mke watu sijawahi, sifikirii ku date nae hata siku moja. Huyu dada sipo nae karibu ila kaonesha interest ya kuwa karibu na mm
  10. M

    Aliniacha akaolewa lakini sasa anataka mazoea

    Habari gani wana jf. Imani yangu wote ni wazima na ni jambo la kumshukuru Mungu. Ndugu zangu niende kwenye maada moja kwa moja: Kuna binti mmoja nilikuwa na mahusiano nae takribani miaka 4 hivi, lengo letu lilikuwa kuishi kama mume na mke. Kiukweli huyu binti binafsi nilimpenda toka moyoni...
  11. M

    Existing member

    Inategemeana mkuu, kama upo serious kutafuta mchumba, jf unaweza kupata mchumba. Suala la kukopi na kupest ni ujinga wa hali ya juu
  12. M

    Existing member

    Hakuna kilichoniondoa jf, nilikuwepo ila siku jisajiri kama member wa hii familia zaidi ya kusoma comments mbali mbali za watu. Swala la uwezo wangu wa kufikiri ni mkubwa tu ndo maana nipo jamii forum. Kati ya majukwaa ninayo appreciate, mojawapo ni jf. Ko ondoa shaka mkuu juu hilo...
  13. M

    Existing member

    Habari gani ndugu zangu? nimerejea tena kwenye hii platform inayojenga, fundisha, kufurahisha n. k. Matumaini yangu mtanipokea tena kwenye hii familia japo nilipotea muda kidogo kutokana na sababu za hapa na pale. Rai yangu kwa wana member ni kuendeleza umoja, upendo na mshikamano na...
Back
Top Bottom