foshizo manizo
Senior Member
- Jan 18, 2017
- 100
- 126
Ha
Amri ya sita imefanyiwa ammendment, ombea papuchi kabla ya kuzini.Habari zenu wakuu.
Weekend hii nilikuwa na mihadi na binti mmoja hivi nilikutana naye nikiwa kwenye harakati za kusaka pesa.
Nikaimbisha binti akaelewa somo. Huku na kule tukapanga weekend hii tuivunje amri ya sita. Binti ilifika muda mida ya mchana, tukala vizuri. Mida flani mvua akaanza nikaona ndio muda muafaka wa kugegeda papuchi kwa ndomu.
Tumamaliza mgegedo muda wa kwenda kuoga, binti akaanguka chini, kuna meza ya kioo pale chumbani akaipiga teke ikavunjika na kumkata mguu. Akazidi kupiga kelele, nikaona huu ni msala.
Nikatamani kwenda nje kuomba msaada nikashindwa, kwa sababu alikuwa naked kabsa.
Nikaona hamna namna, nikaanza kukemea na nikiwa na ki-boxer changu. Kemea kemea, wapi. Mwishoe nikaamua nimvalishe nguo ili angalau nimtoe nje. Nili fight kumvalisha nikafanikiwa. Nikamtoa nje. Akagalagala kwenye mkeka mwisho akatulia.
SOMO.
Kuanzia hapo nimekoma, nikipata binti nampeleka hospital kupima AFYA then kanisani aombewe.
KiloMoja
Kweli boss, yaani umefanya uzinz hlf baadae unakemea kutumia jina gani? Ebu mwogope munguUkakemea? Yaani unakuwa kwenye uasherati halafu unamkemea bosi wako shetani? Hujui katika uasherati wako ulikuwa unatimiza matakwa yake bosi wako? Una bahati yale mapepo yangekunyonga ndipo ungejua. Anyway, sijui ulikuwa unatumia jina gani wakati ulipokuwa unakemea.
Pole yake sana mtoa mada..Smart911 love njoo nawewe ucheke hukuuu mapepo yamepigwa vituu