Binti Kapandisha Mapepo Gheto

Binti Kapandisha Mapepo Gheto

Habari zenu wakuu.

Weekend hii nilikuwa na mihadi na binti mmoja hivi nilikutana naye nikiwa kwenye harakati za kusaka pesa.

Nikaimbisha binti akaelewa somo. Huku na kule tukapanga weekend hii tuivunje amri ya sita. Binti ilifika muda mida ya mchana, tukala vizuri. Mida flani mvua akaanza nikaona ndio muda muafaka wa kugegeda papuchi kwa ndomu.

Tumamaliza mgegedo muda wa kwenda kuoga, binti akaanguka chini, kuna meza ya kioo pale chumbani akaipiga teke ikavunjika na kumkata mguu. Akazidi kupiga kelele, nikaona huu ni msala.
Nikatamani kwenda nje kuomba msaada nikashindwa, kwa sababu alikuwa naked kabsa.

Nikaona hamna namna, nikaanza kukemea na nikiwa na ki-boxer changu. Kemea kemea, wapi. Mwishoe nikaamua nimvalishe nguo ili angalau nimtoe nje. Nili fight kumvalisha nikafanikiwa. Nikamtoa nje. Akagalagala kwenye mkeka mwisho akatulia.

SOMO.
Kuanzia hapo nimekoma, nikipata binti nampeleka hospital kupima AFYA then kanisani aombewe.

KiloMoja
Amri ya sita imefanyiwa ammendment, ombea papuchi kabla ya kuzini.
 
Ukakemea? Yaani unakuwa kwenye uasherati halafu unamkemea bosi wako shetani? Hujui katika uasherati wako ulikuwa unatimiza matakwa yake bosi wako? Una bahati yale mapepo yangekunyonga ndipo ungejua. Anyway, sijui ulikuwa unatumia jina gani wakati ulipokuwa unakemea.
Kweli boss, yaani umefanya uzinz hlf baadae unakemea kutumia jina gani? Ebu mwogope mungu
 
Hukumgegeda vizuri mapepo yote yangeisha kwa sababu yanapenda mgegedano hataree...
 
Huyo dawa yake ni Kukaa na mafuta ya kitimoto Ndan na udi ukiona ameanza paka Mafuta na na wash udi lazma atoke nduki
 
Unanogesha kijiwe, eti ukakemea ,, huo ujasiri uliutoa wapi?
Au hukukemea kwa jina la Yesu?
 
Unaboxer umetoka kwenye punye ukemee pepo kwel hv unayajuwa yalivyo na dharau yatakuchamba mpaka ukome na pia hlo pepo lilikuwa bado linataka mzigo
 
Back
Top Bottom