mwakalindile
Member
- Mar 12, 2017
- 16
- 13
Habari gani watu wa nguvu imani yangu kuwa wote wazima acha niende kwenye maada, jamani mwenzenu huku natafuta kazi yeyote ili mradi tu kuna malipo.
Hadi nimeamua kuja jf, ujue hali ni mbaya suala la kuajiriwa serikalini nilishaliondoa kichwani mwangu yaani laiti nikipata hata kazi yeyote ile at least nikusanye ka mtaji daa ila haya maisha, nimeomba sehemu mbalimbali lakini bado sijapata.
niko mkoa wa mbeya, ni kijana wa kiume
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi nimeamua kuja jf, ujue hali ni mbaya suala la kuajiriwa serikalini nilishaliondoa kichwani mwangu yaani laiti nikipata hata kazi yeyote ile at least nikusanye ka mtaji daa ila haya maisha, nimeomba sehemu mbalimbali lakini bado sijapata.
niko mkoa wa mbeya, ni kijana wa kiume
Sent using Jamii Forums mobile app