Recent content by Mvuvi_papa

  1. Mvuvi_papa

    Morogoro Washangilia Mabasi ya Shabiby yenye vyoo ndani, Scandinavian alikuwa nayo miaka 20 iliyopita!

    Ni aibu kushangaa basi kuwa na choo mwaka 2023. Mwaka 1974 kampuni ya mabasi ya CORETCO ( Coastal Regional Transport Company) ilikuwa na basi lenye choo ndani ikifanya route kati ya Dar es Salaam na Bagamoyo. Eti maajabu kuna watu wanashangaa hilo miaka 49 baadaye
  2. Mvuvi_papa

    Natabiri Bashiru kuwa Waziri Mkuu

    Kwa mujibu wa katiba Waziri Mkuu lazima awe mbunge wa kucha hukuwa (jimboni)
  3. Mvuvi_papa

    TANZIA Profesa Tolly Mbwette afariki dunia

    Bujubuji are you related to the late Scolah Deo Butahe?.
  4. Mvuvi_papa

    Tuliotoka tangu Darhotwire tukutane hapa

    Ma2c aka Nokia Sent from my iPhone using JamiiForums
  5. Mvuvi_papa

    Nahitaji kujenga nina milioni 13, mwenye ramani nzuri anipe

    Rejea mada huyu mkuu ameomba ramani inayoweza kulingana na pesa hii sasa hapa kila mtu anakuwa consultant :mad:
  6. Mvuvi_papa

    INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

    Niko Arusha napataje hii product?
  7. Mvuvi_papa

    Dada Huyu Kapotea na Anatafutwa (Arusha)

    Umeandika vyema lakini umesahau jina lake na la mume wake kwa utambulisho. Picha yake siyo clear lakini jina lake linaweza kusaidia kumtambua.
  8. Mvuvi_papa

    ATCL kupasua anga India na China

    Ndege yenyewe hiyo moja kweli itafanikisha hizo safari za mbali?. Pia hii issue ya Boeing nayo ni majanga watu wanaanza kuziogopa with preferences kwa AirBus
  9. Mvuvi_papa

    Mali zifuatazo zinauzwa-Divorce settlement

    Hizo engine na gear box ni za gari gani?
  10. Mvuvi_papa

    Mwanamuziki Selena Gomez alazwa hospital ya wagonjwa wa akili

    Nani kakwambia huku hakuna vitengo maalum kama hivyo vya tiba ya afya ya akili?. Hii ni Tanzania mpya kama unabeba box umeachwa mbali na maisha halisi ya huku nyumbani.............. samahani sana mkuu ila hakuna namna ila kujibu kwa lugha hii
  11. Mvuvi_papa

    Ajali MV Nyerere: Waziri Mkuu amsimamisha kazi Mtendaji Mkuu wa TEMESA kupisha uchunguzi. Aunda Tume ya uchunguzi

    Mbona naona habari kama haiko kamili. Haraka ya nini?. Tupe majina hayo mengine kukamilisha hiyo tume.
  12. Mvuvi_papa

    Nataka kubadili engine ya gari aina ya Isuzu bigon, ili niweke engine nyingine tofauti

    Fundi mzuri wa haya magari Arusha?. Kwa anayejua na contact zao
  13. Mvuvi_papa

    Computer4Sale Macbook pro laptop for sale

    This sound more familiar?.
Back
Top Bottom