MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 4,479
- 6,532
Mataga jiwe aliwaharibu sana. Wanaona kila kitu kinaweza kufanyika Bila utaratibu. Bashiru huyo aliyepachikwa ubalozi uchwara bado wanamtabiria uPM.Jamani Watz mmekuwa vilaza , siusome katiba , Mbunge wakuteuliwa hawezi kuwa Pm