Recent content by muzr

  1. muzr

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kupata meza Tandika

    Waungwana wenye uzoefu naomba msaada wa kupata meza ya biashara tandika Kwa yeyote anaeweza kunisaidia please ela ya soda ipo
  2. muzr

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada jinsi ya kujisajili mitihani ya Bodi ya Uhasibu

    Kwa anaefaham naomba anisaidie namna ya KUJISAJILI na mitiani ya bodi tayari Nina account ya MEMS nimesha upload vyeti Sasa bado sielewi nini nifanye kukamilisha Hadi niweze kulipia Ile ada ya mitihani.
  3. muzr

    JamiiForums Tanzania Yale mafunzo ya VETA yaliyotangazwa na serikali yatakuwa ya muda gani?

    Jamani alieweza kuayaona ayo majina waliochaguliwa atuambie kaonaje naingia kwenye website nimekuta wameweka kalink lakin hakafunguki kwangu
  4. muzr

    JamiiForums Tanzania Msaada: Mwenye ufahamu kuhusu chuo cha maji hapa Dar es Salaam

    Chuo Cha maji kipo poa ila anatakiwa akaze akiwa mzembe atashindwa Mana Kuna program ya next offer ukipata sap ukashindwa kusapua unapata next offer kwa maana ya utarudia mwaka na Mambo ni magumu lazima ajue mathematics vizur ila ni chuo kizur ukimaliza ukapata nafasi ya kazi basi utakula maisha
  5. muzr

    JamiiForums Tanzania Nahitaji vijana wawili wenye uwezo wa kufanya biashara ya samaki

    Nahitaji vijana wawili wenye uwezo wa kufanya biashara ya samaki eneo ni Kongowe Dar es Salaam Wawe na uwezo wa kutengeneza samaki wabichi, kukaanga samaki. Malipo hayatapungua 5000 na hayatazidi elfu 8000 kwa kila siku Alie tayari tunaweza kuwasiliana kupitia 0748060694
  6. muzr

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu biashara ya samaki

    Habarini wapendwa, Naomba ushahuri kuusiana na biashara ya samaki wa kukaanga kwa anaefaham anipe ushauri naitaji kuianza hii biashara nimepata meza maeneo fulani hivi Sasa nilikua nataka niweke samaki wa kukaanga naomba ushauri anaefaham namna soko lake lilivo na hata wanakopatikana kwa bei...
  7. muzr

    JamiiForums Tanzania Bachelor of Science in Data Management - Open University of Tanzania

    Kama unaitaji kwenda open University pako vizur kwa ushauri wangu na kwa kozi Kama yako hua wanafundisha online and distance mode pamoja na face to face so Kuna mda utaingia daraeani wapo vizur ila wanna center nyingi wew jiunge kwenye center kubwa Kama ya kinondoni pale vitabu vipo kila kitu na...
  8. muzr

    JamiiForums Tanzania Yale mafunzo ya VETA yaliyotangazwa na serikali yatakuwa ya muda gani?

    Niliongea na jamaa 1 akasema wapo bado na mchakato maombi yalikua mengi Sana ila watatoa majina yatatangazwa na ofisi ya wazir mkuu na kwenye magazeti pia
  9. muzr

    JamiiForums Tanzania Yale mafunzo ya VETA yaliyotangazwa na serikali yatakuwa ya muda gani?

    Niliongea na jamaa 1 akasema wapo bado na mchakato maombi yalikua mengi Sana ila watatoa majina yatatangazwa na ofisi ya wazir mkuu na kwenye magazeti pia
  10. muzr

    JamiiForums Tanzania Wazee wa FOREX mtanielewa vyema

    aseee nilikaaa nikasoma nikaelewa kwa sasa los kwangu kupata ni ngumu sana ni mwendo wa kuingiza pesa ndefu kila siku in real iko poa sana ka itaielewa ila usicheze kama hujui
  11. muzr

    JamiiForums Tanzania KASHWASA NA SHUWASA NI OFISI MOJA ??

    samahan waungwana naomba kujuzwa kitu iki kashwasa na shuwasa ni mamlaka moja yenye ofisi moja au ni ofisi mbili tofauti naomba msaada kwa yeyote mwenye uelewa na iki
  12. muzr

    JamiiForums Tanzania Plumbing

    Naitaji mtu wa kushirikiana nae katika kazi za plumbing(installation of pipes sink and so) Vifaa vyote vinavyohusika katika kazi ninavyo tutashirikiana kama team katika kutafuta chanel za kazi na kuifanya Kwa mwenye ujuzi na plumbing na alie tayari anitext tuyajenge 0777625025 NIPO DSM Sent...
  13. muzr

    JamiiForums Tanzania Msaada

    Nina shida na eneo/meza ya biashara tandika ama eneo lolote kwa mwenye uwezo wa kunisaidia hadi nikapata nitamshukuru sana kwa kidogo nilichonacho kwa msaada wake plz kwa mweny kuweza kunisaidia ilo
  14. muzr

    JamiiForums Tanzania Naitaji eneo lenye Kodi nafuu kwa ajili ya kuchoma chips

    Chini ya 50000 namanisha isivuke 50
Back
Top Bottom