Nunua mbao utengeneze, utatumia cost ndogo kuliko kununua mezaNina shida na eneo/meza ya biashara tandika ama eneo lolote kwa mwenye uwezo wa kunisaidia hadi nikapata nitamshukuru sana kwa kidogo nilichonacho kwa msaada wake plz kwa mweny kuweza kunisaidia ilo