muzr
Member
- Sep 5, 2017
- 31
- 18
Habarini wapendwa,
Naomba ushahuri kuusiana na biashara ya samaki wa kukaanga kwa anaefaham anipe ushauri naitaji kuianza hii biashara nimepata meza maeneo fulani hivi Sasa nilikua nataka niweke samaki wa kukaanga naomba ushauri anaefaham namna soko lake lilivo na hata wanakopatikana kwa bei ya jumla na Kama Kuna connection ili nipate mzigo kiuraisi anisaidie nipo Dar es Salaam Kongowe
Naomba ushahuri kuusiana na biashara ya samaki wa kukaanga kwa anaefaham anipe ushauri naitaji kuianza hii biashara nimepata meza maeneo fulani hivi Sasa nilikua nataka niweke samaki wa kukaanga naomba ushauri anaefaham namna soko lake lilivo na hata wanakopatikana kwa bei ya jumla na Kama Kuna connection ili nipate mzigo kiuraisi anisaidie nipo Dar es Salaam Kongowe