Recent content by Muyenjwa Godfrey

  1. Muyenjwa Godfrey

    Azaki Gamba,Afariki dunia

    Pumzika kwa amani baba yetu.
  2. Muyenjwa Godfrey

    Usajili kidato cha sita

    Ndio. Hakikisha unawapa majina yako na namba ya mtihani kwa usahihi. (pamoja na mwaka wa kuzaliwa) Vinginevyo, majina yakija kutofautiana na cheti cha kidato cha sita itakupa shida. Zungumza nao. Kwasababu lengo la kuleta cheti cha form four ni kuhakikisha usahihi wa taarifa zako bila...
  3. Muyenjwa Godfrey

    Usajili kidato cha sita

    Pole. Unakumbuka majina yako na namba zako kwa usahihi??
  4. Muyenjwa Godfrey

    Misamiati Mipya ya Kiswahili

    Siku zote nimekuwa nikijua kuwa lugha haiundwi na kikundi cha watu kama wafanyavyo Baraza la Kiswahili la Tanzania kutengeneza maneno magumu wanayoyaita Kiswahili. Lugha huja yenyewe kama tulivyozaliwa tukaikuta, na mababu zetu kabla yetu walivyoikuta.
  5. Muyenjwa Godfrey

    Siku Mwigulu atakapoongoka na kutubu

    Maandishi yataishi milele!!!
  6. Muyenjwa Godfrey

    Nadhani sasa kitaeleweka!

    Mungu ibariki JamiiForums!!
  7. Muyenjwa Godfrey

    Hongereni sana tigo kwa huduma zenu nzuri

    Katika swala la kufanya miamala ya kimtandao, kibenki, au kimalipo kwa kweli TiGo wako vizuri. Wana kasi na usalama.
  8. Muyenjwa Godfrey

    Fahamu kisa cha huyu binti kujinyonga

    Masahihisho, mkuu : Ni mwanafunzi wa chuo kikuu Makumira, Arusha. Sio Iringa.
Back
Top Bottom