Ndio.
Hakikisha unawapa majina yako na namba ya mtihani kwa usahihi. (pamoja na mwaka wa kuzaliwa)
Vinginevyo, majina yakija kutofautiana na cheti cha kidato cha sita itakupa shida.
Zungumza nao.
Kwasababu lengo la kuleta cheti cha form four ni kuhakikisha usahihi wa taarifa zako bila...
Siku zote nimekuwa nikijua kuwa lugha haiundwi na kikundi cha watu kama wafanyavyo Baraza la Kiswahili la Tanzania kutengeneza maneno magumu wanayoyaita Kiswahili.
Lugha huja yenyewe kama tulivyozaliwa tukaikuta, na mababu zetu kabla yetu walivyoikuta.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.