Kwa uyatima wake alipaswa a- concentrate kwenye shule.Inasemekana huyu binti ni yatima,so inawezekana ugumu wa maisha na jamii inayomzunguka,vilevile kitendo cha mwanaume aliezaa nae kususia msiba wa mwanae na baada ya mwezi jamaa akaoa unahitaji roho ya paka kuvumilia hayo maumivu,alikosa faraja kwakweli solutions akaona ni awafuate wapendwa wake waliomtangulia
Mmeenda kuupumzisha mwili wa mpendwa wetu wap mkuu
Pole eeehe Pole sanaToo sad jaman
Anayehitajika kwenda soma ni wewe kasome kwanza kisha urudi kusoma Mshana alichoandikaa.....Mtu anamke then binti unaenda kuipeleka bila haya.
Huyo mke wake wa ndoa kama aligundua unadhani alikuwa akiomba nini kimpate huyo binti????
Mke /mme ya mtu ni zaidi ya sumu.
Huyo binti kavuna alichopanda
Kama huyo jamaa alimbaka hapo si sawa lakini kama alimpelekea akamvulia and then akaenjoy basi hayo ndo matokeo.
Nenda pale udsm uone vibinti vinavyokutolea macho ya kingono ngono utadhani havijui vilienda kufanya nini.
Mabinti someni kwanza, acheni NGONO.
Kujiua ni ujinga hata iweje.
Kajinyonge ndo utajua ubinadamu.Anayehitajika kwenda soma ni wewe kasome kwanza kisha urudi kusoma Mshana alichoandikaa.....
na uwe na ubinadamu ndani yako.
Kujinyonga iwe ni kwa sababu yeyote ile ni ujinga na upumbavu wa kupitiliza. Kila Mwanadamu anapaswa kutambua kuwa hakujileta hapa duniani kwa hiari yake mwenyewe na hivyo pia hawezi kujiondoa hapa duniani kwa hiari yake mwenyewe.
Hata kama mambo ni magumu kiasi gani, unakomaa nayo hivyo hivyo na siku ya kuondoka ikifika, basi unaondoka, lakini siyo kwa kujiua.
KilimanjaroMmeenda kuupumzisha mwili wa mpendwa wetu wap mkuu
Kwa kipi hasa? huyo jamaa alishajitoa mapema tu hakua na sababu b yeyote ya kumhusisha na chochote kajiua kwa zake sio aliempa mimbaX
Mapenzi ni ugonjwa!
Masikini binti hakuwa na mshauri wa kimaisha.
Ila huyo bwana kajipalia makaa ya moto.
Karma itamuwinda.
Yangekuwa matamu hata usingekuwa na maneno makali.......Kajinyonge ndo utajua ubinadamu.
Maisha matamu hivi unaenda kujinyonga????
For what?????