nauza nyanya fresh toka shambani (
(kiluvya )box shilingi 25,000/= na cherry tomatoes (vidogovidogo) kwa kilo shilingi 4,000/= nyanya zote ni fresh. tafadhali wasiliana nami kwa namba 0621095977
Mimi ni mkulima wa nyanya; niko mbio ni kuanza mavuno ya nyanya zangu. ni nyanya za kawaida pamoja na zile ndogo ndogo {cherry tomatoes} wengine wanaziita baby tomatoes. Nakaribisha mwenye uhitaji wa jumla na rejareja kwenye supermarkets na hoteli.
asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.