Telegram ni bora kushinda Whatsapp Mara kumi

Telegram ni bora kushinda Whatsapp Mara kumi

well telegram wapo vizuri kwenye kila angle kulinganisha na whatsapp. ni apps bora sana kwa security maana waweza fanya secure chat na mtu na bado watu wasiweze kukudukua maana ina end to end encryption. Whatsapp wapo mbele kwa sababu walitangulia tu, nothing else.
 
ukisoma hizi privacy zao hapa
Telegram Privacy Policy

huwezi fananisha telegram na whatsapp. wakati whatsapp vitu vinabaki kwenye simu yako wao telegram wanakuhifadhia kwenye server yao.

kuna line, telegram, kik, viber, oovoo, bbm na wengine kibao wote wanafanana ndio maana wanakuwa banned mara kwa mara wakati whatsapp ipo ya kipekee privacy ni kitu cha kwanza na ndio kitu watu wengi wanachojali.

ndio maana tukiletewa bidhaa za kukuza makalio, maji ambayo ukiyanywa unakuwa mweupe, mayai yasiyo na viini na vitu kibao vinahit hapo hapo. watu hawafanyi research siku hizi wanatujua kuanzia chini hadi juu
 
ukisoma hizi privacy zao hapa
Telegram Privacy Policy

huwezi fananisha telegram na whatsapp. wakati whatsapp vitu vinabaki kwenye simu yako wao telegram wanakuhifadhia kwenye server yao.

unaongelea nadharia au maandiko yao tu.kama wewe ni mtumiaji wa telegram unajua kuwa huo ni uongo wa mchana.kama unatumia android fanya hivi -nenda file managera>mobile storage>telegram>telegram images/audio/video/documents yamejaa katika simu. walichofanya ni kubadilisha tu mfumo.
 
unaongelea nadharia au maandiko yao tu.kama wewe ni mtumiaji wa telegram unajua kuwa huo ni uongo wa mchana.kama unatumia android fanya hivi -nenda file managera>mobile storage>telegram>telegram images/audio/video/documents yamejaa katika simu. walichofanya ni kubadilisha tu mfumo.
nimeeka link ya site ya telegram bado unataka tubishane?

na kinachozungumziwa hapo sio unachokiona kwenye gallery bali kinachobaki kwenye server ya telegram. kikibaki kwenye simu yako unastahiki sababu ni chako ila wakibaki nacho wao ndio maswali yanapoanza
 
nimeeka link ya site ya telegram bado unataka tubishane?

na kinachozungumziwa hapo sio unachokiona kwenye gallery bali kinachobaki kwenye server ya telegram. kikibaki kwenye simu yako unastahiki sababu ni chako ila wakibaki nacho wao ndio maswali yanapoanza

Umeelezea vizuri sana .. so ukitaka kuwa full secured na vituvyako visiwekwe kwenye server zao inakupasa muda wote utumie secret chart!!

"We do not store your secret chats on our servers. We also do not keep any logs for messages in secret chats, so after a short period of time we no longer know who or when you messaged via secret chats. For the same reasons secret chats are not available in the cloud — you can only access those messages from the device they were sent to or from."
 
na watsap hawana hii feature na hawa store data zako pia ... so a bonus to TELEGRAM i think telegram iko poa zaid... japo swali la muhimu ni je? Hapa tz tuna hitaji ma usalama ya hivyoooo... i bet TCCccccRA hawawezi kusoma msg za watsap...jokin
 
Umeelezea vizuri sana .. so ukitaka kuwa full secured na vituvyako visiwekwe kwenye server zao inakupasa muda wote utumie secret chart!!

"We do not store your secret chats on our servers. We also do not keep any logs for messages in secret chats, so after a short period of time we no longer know who or when you messaged via secret chats. For the same reasons secret chats are not available in the cloud — you can only access those messages from the device they were sent to or from."
encryption wanafanya wao even mimi siifahamu nitaaminije hawazi decrypt hizo msg?
 
na watsap hawana hii feature na hawa store data zako pia ... so a bonus to TELEGRAM i think telegram iko poa zaid... japo swali la muhimu ni je? Hapa tz tuna hitaji ma usalama ya hivyoooo... i bet TCCccccRA hawawezi kusoma msg za watsap...jokin
WhatsApp ina end to end encryption ambayo hata wao wenyewe hawana access na message za watu maana the encryption inatokea from the senders phone na inakuwa decrypted by the receiver so ikiintecept message itakuta ipo scramble na bila decryption key huwezi soma chochote...

Na ni kweli pia hata Tcra haiwezi soma messages za whatsapp.. Mpaka wakamate simu husika..

Hata Marekani imekuwa issue WhatsApp next on the government's hit list in the great encryption debate
 
Daah! Nilikua naitumia but nilikua sijapata maujanja ya hizo channels, shukran kwa waliotupia link
 
well telegram wapo vizuri kwenye kila angle kulinganisha na whatsapp. ni apps bora sana kwa security maana waweza fanya secure chat na mtu na bado watu wasiweze kukudukua maana ina end to end encryption. Whatsapp wapo mbele kwa sababu walitangulia tu, nothing else.

TAARIFA: Mmiliki wa Whatsup ndo huyo huyo wa Telegram.
 
Back
Top Bottom