Recent content by Mutuzu-Muhunda

  1. M

    JamiiForums Tanzania Nishaurini kuhusu mpenzi wangu, ana tatizo la kuwa na maji mengi ukeni

    Kila kukicha yanaongezeka??Au wew ndo punyeto imekuathiri??kitu kinasinyaa kila siku ziendepo??Punguza hiyo kitu
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Anataka nimuoe ilihali sina kazi

    Nipe namba yake,mimi nina kazi ila sijapata wa kuoa!!
  3. M

    JamiiForums Tanzania ITV:MICHEZO

    Duh naangalia ITV habari za michezo,kumbe huu mchezo wa kucheza na ng'ombe hata TZ upo!!!ukiendelezwa vizuri utakuwa chanzo cha mapato na Utalii
  4. M

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli, sasa serikali ihamie Dodoma

    Mzigo mzito mpe mnyamwezi
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Portugal v France: UEFA EURO2016 Final - Portugal Crown Champions!

    Kwani chenyewe kimeletwa karne ya ngapi??
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Portugal v France: UEFA EURO2016 Final - Portugal Crown Champions!

    Star times hawaonyeshi hii game??
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mhasibu Mkuu wa Jeshi la Polisi asimamishwa kazi kwa kutoa malipo hewa

    Wamemuonea tu,haiwezekani watumishi raia wasipewe posho wakati wenzao Police wanapewa,na zinaandaliwa na haohao watumishi raia akiwemo mhasibu mkuu mwenyewe.Msaki
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nauza kiwanja

    Kibaha!?kiwanja au shamba?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Risiti za EFD zitaleta tatizo huko mbeleni

    Piga copy pindi uipatapo
  10. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta mkopo nimalizie ada ya chuo, nimekwama

    Upo mwaka wa ngapi??
  11. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta mkopo nimalizie ada ya chuo, nimekwama

    Unataka umsaidie?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli ashiriki ibada katika kanisa la Antoni Lusekelo, atoa ahadi ya barabara

    Mzee wa upako na ule wimbo wake wa Sayuni sayuni.....katika ubora wake,kesho jumatatu usiku channel 10 lazima kitakuwa marudio ya kipindi cha leo
  13. M

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli ashiriki ibada katika kanisa la Antoni Lusekelo, atoa ahadi ya barabara

    Raisi wa JMT Mh.JPM amemtembelea Muhubiri Mzee wa Upako au "Transformer" kamwambia anaguswa na uhubiri wake,ahaidi kumjengea barabara ili waumini na wananchi wa Maeneo hayo wasipate usumbufu. Source.Kurugenzi Ikulu
  14. M

    JamiiForums Tanzania Bodi ya mikopo na wadau sikilizeni kilio changu naangamia.

    Tatizo lako haukuendelea kujaza hizo form zao kwa wakati baada ya kupata mkopo,haki ni lazima iendane na wajibu,ni tabia ya vijana wengi kutoendelea na kujaza hizo form,mkikosa ndo mnaanza kuhangaika kujaza,na inakuwa too late.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Mfuko wa LAPF hauna usumbufu kabisa

    Bila kupata usumbufu ungewajuaje hao maafisa wote uliowataja hapo juu??
Back
Top Bottom