Kwa wanawake wanavyopenda kusifiwa sidhani kama hili ni suluhisho kwani wengi wao hawatakubali kupitwa na wanawake wenzao hovyo hovyo barabarani.
Mimi naona sheria zitiliwe mkazo na adhabu kali zitolewe kwa makampuni na madereva wanaokiuka sheria za usalama barabarani!
Naomba kufahamu iwapo mafuta hamna kwenye kisima kama pump inaweza kuwashwa na mtu akafanya kama amekuuzia mafuta kumbe umelipia hewa maana inawezekana kutokujua kwangu nimeshalizwa sana.
Zaidi sana nitajuaje kama mafuta hamna kwenye kisima ili nisiingizwe mkenge?
Asante!
Tutasema mengi sana lakini ukweli utabaki kwamba"Everything in excess is harmful" kaka adhama yako inanikumbusha kuna dada yangu na mumewe walidiriki kutoa kiwanja na gari yao ya kutembelea wakampa mchungaji wao na wao wakabaki bila kitu achilia kudorora kwa shughuli zao za uzalishaji mali...
Vipi abiria wanaokuwa kwenye magari, nao watapaswa kulipa? Narejea utaratibu wa pale ferry kukiwa na watu wengine ndani ya gari zaidi ya dereva wanashushwa wapitie getini na kulipia!
Hii ni kutafuta kick ya kisiasa kwa mheshimiwa, kama suala ni kusaidia walimu kwenye usafiri kwa nn asitoe transport allowance kwa walimu ambayo haiwezi kuzidi 30000 kwa mwezi kwa kila mwalimu kuliko usumbufu huu anaotaka kuuleta kati ya mwalimu na konda wa daladala.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.