Recent content by mutagaywa

  1. mutagaywa

    Je umewahi kupigiwa simu kwa namba hii +255901761234?

    Mm napigiwaga nayo ukipokea unasikia mihito za nyimbo na mengine usubufu tu
  2. mutagaywa

    Ushauri: Nataka niende Dubai kufanya kazi

    Mkuu the same to me mm nilipewa business card na gm mmoja hapa bogo lakin alikuwa ametoka dubui akasema ni.mcheki kupitia email yake nilijalibu ku.mtumia email hila ajibu hila hata mm nilikuwa na mawazo ya kwenda dubui
  3. mutagaywa

    Mchungaji Masanja "Mkandamizaji" Hebu uwe hofu ya Mungu

    Nasikia sasa hiv anakanisa lake huko kigambon
  4. mutagaywa

    Ferouz: Inaniwia vigumu kuacha madawa ya kulevya

    Aisee jaman eee mwenyezi mungu nusu kizazi hiki nikimkubuka nado ndo huyu. Niliyokuwa namuona bba kweli uga usicheze nao dah
  5. mutagaywa

    Bukoba vs Moshi

    Asante sana kwa majibu mazuri ajafika hata vijijin kuona location za uko Bk habar nyingine ww
  6. mutagaywa

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Tunashukuru mungu kwa ushindi wa Jana mungu ni mwema tutazid kubadilisha mfumo naona mmeisha anza kuleta shobo
  7. mutagaywa

    CHADEMA hata kama tunajivua kupotea kwa Ben, hili la Mashinji kugawa vyeti msituni linazua maswali

    Aisee mbona mnaaza kututia hofu jaman naomba kweli hili swala lifatiwe ili ijulikane chanzo cha haya ni nn
  8. mutagaywa

    Updates: Diamond Platnumz na Zari wapata mtoto wa kiume

    Mwenyezi mungu akutangulie ujifungue salama mma tifa
  9. mutagaywa

    Hakuna haja ya kuwa na Bunge la bajeti

    Inasikitisha kweli aisee
  10. mutagaywa

    Darassa hii sasa too much, Wimbo wa 'Muziki' umetikisa Bongo nzima

    Bado sana kupambanisha simba na huyu kijana nisawa na kujitekenya uku unacheka mwenyewe
Back
Top Bottom