Wabunge wapo sahihi,na unapozungumzia juu ya nauli usiishie tu kuitaja ile 200,angalia pia gharama za mizigo,bajaji,gari n.k.pia usisahau na nauli nyingine kutoka pale feri kwenda maeneo mengine mara kurudi,yaani mfano mwenge,mabibo n.k,inawezekana wanaopingana na wabunge hawa upeo wao wa...