Recent content by MussaBubu

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mgomo huu unaonukia wa Madaktari ni wa kujitakia,Serikali ichukue hatua harka

    BARUA YA WAZI KWA WAZIRI WA AFYA, Mh.Dr. Hussein Mwinyi Kwa heshima kubwa, Sisi madaktari na wafamasia tuliopo mafunzoni (Internship) katika hospitali za mikoani tofauti na Muhimbili tunapenda kukutaarifu Mh.Waziri wa Afya,kwamba kumekuwepo na matatizo katika malipo ya posho tunazolipwa kila...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kwa ujinga huu wanaofanya wabunge wetu wa mkoa wa Ruvuma,Nalazimika kwenda kugombea ubunge Namtumbo

    Mkoa wetu umekosa wabunge wakutusemea na kututeteana badala yake wamekuwa watetezi wa chama na ndio maana tupo nyuma sana kimaendeleo.Sasa naacha kulalamika naanza rasmi kufanya siasa Namtumbo.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa mkoa wa Ruvuma ni janga la mkoa.

    Tumeona wabunge wa mikoa ya ziwa wanaungana kuhusu pamba na uvuvi,kaskazini kuhusu masuala ya utalii na kahawa na magharibi kuhusu reli lakini wabunge wetu pamoja na kuwa na matatizo makubwa ya mbolea,kahawa,makaa ya mawe na madini mengine,uranium bila kusahau tumbaku lakini wanaishia kuonga...
  4. M

    JamiiForums Tanzania John Mnyika amuita Rais Kikwete dhaifu, atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge

    Mnyika ametolewa bungeni kwasababu ya kutamka kwamba Rais Kikwete ni dhaifu,Hilo ni kosa kweli kama sio urais wa kifalme unaosemwa. Nawasilisha
  5. M

    JamiiForums Tanzania John Mnyika amuita Rais Kikwete dhaifu, atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge

    Nawasilisha
  6. M

    JamiiForums Tanzania Hongera Mh. Msigwa kwa kuwaambia wabunge wenzako ukweli

    Ndio shida ya slow learners,mistari michache unashindwa kuielewa vp ingekuwa pagee moja?
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenyan Security Minister George Saitoti Reported Killed

    Tuache unafiki,English ni janga la kitaifa Tanzania,nashauri kabla hujamtathmini Nchimbi anza kutathmini english yako kwanza,utagundua humfikii hata robo,Mwacheni mbunge wangu hata kama tupo chama tofauti
  8. M

    JamiiForums Tanzania Hongera Mh. Msigwa kwa kuwaambia wabunge wenzako ukweli

    Inakuwaje Mbunge unaunga hoja ya bajeti mkono kwa 100%,halafu katika mchango wako wote katika bajeti hiyo unailaumu serikali kwa kutozingatia mambo muhimu.Je huku sio kuwahadaa wananchi?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Naibu waziri wa fedha Saada Mkuya Salim hawezi kuongea kiswahili vizuri

    Akijibu maswali bungeni leo,Waziri huyo ameonekana kabisa hawezi kuongea kiswahili vizuri kwani hana tofauti na jinsi wanavyoongea watu ambao wamekijua kiswahili kwa kujifunza kama vile wazungu,yaani usipomwangalia usoni unapomsikiliza ni wazi utashtuka na kuhisi kwamba leo mzungu anahutubia...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Makamanda wa mkoa wa Ruvuma,zingatieni haya.

    Wenye nia ya kugombea ubunge kupitia CHADEMA ktk majimbo ya mkoa wa Ruvuma,huu ndio wakati wa kujenga chama.Msije mkakumbuka shuka wakati kumekucha na hivyo kupelekea mkoa wetu kuwa wa mwisho kwa kimaendeleo kila siku, Nawasilisha.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Majibu ya Kigwangalla: Kwa Nini Sikusaini Hoja ya Mhe. Zitto Zuberi Kabwe (MB)!

    Huna lolote ,umetishwa na CCM ya kwamba utavuliwa uanachama umeanza kuwasahau waliokuchagua,nakuambia ni bora maskini huru kuliko tajiri na msomi mtumwa.:rockon:
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mh! Huyu Mbunge ....!

    Hayo ni majungu,Dogo yupo kamili sana,nimemkubali
  13. M

    JamiiForums Tanzania Nataka kumng'oa Vita Kawawa (jimbo la Namtumbo) kupitia CHADEMA... Ushauri pls!

    Wazo ni zuri,zingatIa ushauri wa RUV ACTIVIST,Sisi tumeshamaliza kazi Hanga,Mputa na Kitanda.Tuwasiliane kwa 0758921871 tuendelee kujenga chama,Karibu
  14. M

    JamiiForums Tanzania Mgomo wa madaktari: Kigwangwalla kufukuzwa CCM?

    usijali kigangwala,mpk kieleweke,usimtupe Ulimboka
  15. M

    JamiiForums Tanzania Nauli Feri: Mnyika, Hata Wewe?

    Wabunge wapo sahihi,na unapozungumzia juu ya nauli usiishie tu kuitaja ile 200,angalia pia gharama za mizigo,bajaji,gari n.k.pia usisahau na nauli nyingine kutoka pale feri kwenda maeneo mengine mara kurudi,yaani mfano mwenge,mabibo n.k,inawezekana wanaopingana na wabunge hawa upeo wao wa...
Back
Top Bottom