Tumeona wabunge wa mikoa ya ziwa wanaungana kuhusu pamba na uvuvi,kaskazini kuhusu masuala ya utalii na kahawa na magharibi kuhusu reli lakini wabunge wetu pamoja na kuwa na matatizo makubwa ya mbolea,kahawa,makaa ya mawe na madini mengine,uranium bila kusahau tumbaku lakini wanaishia kuonga mkono hoja na kuiponda chadema.Tumekwisha.