Akijibu maswali bungeni leo,Waziri huyo ameonekana kabisa hawezi kuongea kiswahili vizuri kwani hana tofauti na jinsi wanavyoongea watu ambao wamekijua kiswahili kwa kujifunza kama vile wazungu,yaani usipomwangalia usoni unapomsikiliza ni wazi utashtuka na kuhisi kwamba leo mzungu anahutubia bunge kwa kiswahili possibly ni mtanzania ila hajakulia hapa nchini na kama ni hivyo anayajua matatizo ya watanzania vizuri?
Nawasilisha.
Nawasilisha.