Hao kenya ndio wameiga huku kutumbua majipu na kwa taarifa yako kuna wale maafisa wa TRA nao wamesachiwa majumbani kwao wamekutwa na mabunda ya pesa takribani 200 mills, soma sana habari utaona mengi
Na wewe kama inakuchosha husiendelee kuifatilia, of course ni kweli mara nyingine kuna thread zinaboa ila hauwezi kuanza kulimit mtu humu, hili ni jukwaa huru as long as wasitoke nje ya maadili... Kwa upande wangu nikiona thread michosho huwa naachana nayo!
Wewe unadhani kwann hawawezi?
Nabii Issa (Yesu) aliweza kufufua... Elewa akili zetu zina ukomo wa kufikiri na ndio maana nikikuuliza hapa unanijua mm nipoje huwezi nijibu, sasa kuna vitu vingingine vitakua mbali na mwisho wa uwezo wetu wa kufikiri na utajipa majibu sio ya kweli huo ndio udhaif...
Ni kweli kunako chemical reactions zinazoendelea in the body of an organisms na hiyo inathibitisha yupo anazoziongoza, suppose gari lililotengenezwa na binadamu likiharibika (likifa) huweza kulitengeneza (kufufua), je kunako biologist anayeweza kufufua, kurudisha uzima, yaani kurudisha zile...
Kweli kabisa mkuu, me ndio maana sijafanya kabisa kuweka france profile japo very sorry France, lakini pia Palestine, Syria pia wanauawa kila siku lakini hawajafanya kitu kama hicho hata siku moja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.